CHADEMA yafunika Shinyanga

CHADEMA yafunika Shinyanga

Bilionea Asigwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2011
Posts
16,578
Reaction score
28,701
Wakuu muda huu mkutano wa CHADEMA wa kumtambulisha mgombea ubunge kwa tiketi ya CHADEMA na UKAWA unaendelea viwanja vya ShyCom
Watu wamefurika balaa haijapata kutokea uwanja umetapika mpaka barabarani , Tanesco walikata umeme lakini makamanda wakaunga jenereta imebidi wauwashe tu.
Kamanda aliyetekwa na mbunge mtarajiwa Kamanda Patrobas anamwaga sera balaa akishirikiana na kamanda Lembeli.
Kwa mwitikio huu wa wananchi MASELE ahairishe tu kupiga hata kampeni.
Kwa hali hii Ccm inabidi mjipange sana mwaka huu hamna chenu.
Nita upload picha muda si mrefu network ni shida ila nazeta soon
 
"kura yangu app" kwenye simu yako ya mfumo wa android inakuwezesha kuona mgombea anayependwa zaidi.
 
Wacha urongo wewe, nilikuwepo hata mimi kwenye huo mkutano, nilichoshuhudia ni aibu zifuatazo:

1. Mgombea ubunge ndg Patrobas Katambi kuzomewa na wananchi kwa kumuita nakuja ( si makazi wa Shy)

2. Sintofahamu na mpasuko baina ya viongozi wa CDM Shy Mjini.

3. Kutambulishwa wagombea udiwani wawili ktk kata moja ya Ngokolo, ndg Onesmo- Cuf na ndg Ntobi- CDM.

4. Zones zomea iliyompata Lembeli na Mpendazoe.

5. Idadi ndogo ya watu waliojitokeza ktk mkutano tofauti na ilivozooeleka hapa SHY.

5. Mgombea, ndg Katambi kutuma zaidi ya robot tatu ya hotuba yake kuzungumzia sinema ya kuteka badala ya kueleza ataifanyia nini Shy na wakazi wake iwapo wakimchagua kuwa Mbunge.
 
Mimi naamini bila picha magamba wengi watashindwa ubunge mwaka huu..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom