CHADEMA yafunika Babati

Attachments

  • IMAG0139.jpg
    IMAG0139.jpg
    295.1 KB · Views: 2,866
lisu anawasili na umati unatisha


ndugu yangu achana na ushabiki wa vyama,hapa tanzanzania hakuna mwenye nafuu,hao wabunge wetu tunaowaamini wa cdm walipokea rushwa kupiga kula za wabuge wa africa mashariki,wakishaingia bungeni wanatuzuga sisi wananchi, huyo lisu,zito,machali,na mbunge mmoja wa mwanza walipokea rushwa na mimi nikiwepo na hawakuoji, kilichobaki hii inchi lipewe jeshi ili tueshimiane mtaani sio bra bra za vyama
 
ndugu yangu achana na ushabiki wa vyama,hapa tanzanzania hakuna mwenye nafuu,hao wabunge wetu tunaowaamini wa cdm walipokea rushwa kupiga kula za wabuge wa africa mashariki,wakishaingia bungeni wanatuzuga sisi wananchi, huyo lisu,zito,machali,na mbunge mmoja wa mwanza walipokea rushwa na mimi nikiwepo na hawakuoji, kilichobaki hii inchi lipewe jeshi ili tueshimiane mtaani sio bra bra za vyama

Wabunge wa magamba ndiyo pekew wanaoweza kuchukua rushwa isipokuwa wanaharakati wachache sana.

Wabunge wa CDM wanajichukulia kama kioo hivyo hawawezi kununuliwa kwa milion moja au laki tano.

Achana na propaganda za kimagamba hapa wewe Kigoma Kwetu.
 
ndugu yangu achana na ushabiki wa vyama,hapa tanzanzania hakuna mwenye nafuu,hao wabunge wetu tunaowaamini wa cdm walipokea rushwa kupiga kula za wabuge wa africa mashariki,wakishaingia bungeni wanatuzuga sisi wananchi, huyo lisu,zito,machali,na mbunge mmoja wa mwanza walipokea rushwa na mimi nikiwepo na hawakuoji, kilichobaki hii inchi lipewe jeshi ili tueshimiane mtaani sio bra bra za vyama

Acha porojo.CDM hawakutoa waka kupokea rushwa ya mbunge yeyote. Walishajua kuna mbinu ya kuwaangusha maana SSM wanawaogopa na hawakutaka kuwachagua. CDM tishio ati. Toa evidence ya mbuge wa CDM aliyepokea rushwa usiropoke tu. Hapa issue ni moto unawashwa huko BABATI!!! Sogeeni Hanang, Mbulu malizeni kabisa huko. Piga msumari kwa nyundo, hakuna huruma.
 
ndugu yangu achana na ushabiki wa vyama,hapa tanzanzania hakuna mwenye nafuu,hao wabunge wetu tunaowaamini wa cdm walipokea rushwa kupiga kula za wabuge wa africa mashariki,wakishaingia bungeni wanatuzuga sisi wananchi, huyo lisu,zito,machali,na mbunge mmoja wa mwanza walipokea rushwa na mimi nikiwepo na hawakuoji, kilichobaki hii inchi lipewe jeshi ili tueshimiane mtaani sio bra bra za vyama

Hahahahahahah!!!!!!!!. Umesahau kuwa bado kuna chama kimoja tu hapa Tanzania ambacho kimekuwa na kitaendelea kumpigania mtanzania ili aondokane na wimbi la umaskini. CCM pekee ndio inatakiwa kuaminiwa na watanzania. Achaneni na tuvyama ambato hatuna kichwa wala miguu, vivyama venyewe havina hata ofisi, hivyo mkijichanganya tu mkavipa kura hesabuni maumivu.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
 
ndugu yangu achana na ushabiki wa vyama,hapa tanzanzania hakuna mwenye nafuu,hao wabunge wetu tunaowaamini wa cdm walipokea rushwa kupiga kula za wabuge wa africa mashariki,wakishaingia bungeni wanatuzuga sisi wananchi, huyo lisu,zito,machali,na mbunge mmoja wa mwanza walipokea rushwa na mimi nikiwepo na hawakuoji, kilichobaki hii inchi lipewe jeshi ili tueshimiane mtaani sio bra bra za vyama

wewe mgeni chadema,sera yetu ni ukipewa kula alakini kura yako peleka kwa mahali stahiki na huyo aliekupa usimpe kabisa.akikuvika vaa,alakini kura yako rohoni mwako.hotuba ya mwalimu enzi zake alisema anaekimbilia ikulu ni wakumuogopa zaidi ya ukoma,ikulu alikua anaongelea uongozi,uongozi hauko ikulu tu,akili kumkichwa ndugu..hivi wewe kwa akili yako mtu kama zito ni wakuhongwa kweli na mbunge!!?c'mon guy dnt be cheap like dat.
 
Back
Top Bottom