CHADEMA yadoda Morogoro Mjini

CHADEMA yadoda Morogoro Mjini

Mr Chin

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
4,625
Reaction score
1,024
11988463_1681726202050913_4406293104734995898_n.jpg
 
Duh hatari sana!

mbona hajaonyesha hadhira ameonyesha viongozi tu? huu ni uongo wa mchana,juzi tu nimetoka Morogoro watu wameamka hatari wanataka ukawa tu,maeneo ya kionda+nane nane+bigwa+mji mpya+mzumbe +mazimbo kote huko ni UKAWA
 
Watu wazima na elimu zao kujitoa ufahamu miaka yote hiyo....Kampeni zote kupinga ufisadi na wizi wa mali za umma leo mjinga mmoja anauza chama kwa aliekuwa anawaibia.Ccm wamechoka na viongozi mizigo wamekimbilia cdm...bavicha hata hili hamkuliona au ndo kauli mbiu ya ccm kwamba vichwani hakuna akili ni mirungi,bange na viroba?.Tunataka mabadiliko ila sio kwa kutuletea pancha kama Lowass=>sumaye na majizi yote kutoka ccm.
 
Kudoda si shidaa kuingia ikulu umeshafikiria??
 
Back
Top Bottom