CHADEMA yachukua kata nzima!


:israel:Naona unakuwa kama Al Sahaf yule msemaji wa jeshi la Saddam Hussein,so funny!!!
 

Tangu JF iingie kwenye mobile tunakutana na vituko kama hivi. Any body can rite any thing
 

Mh! Mkuu unataka kuniambia hata Minde, Ngawaiya na Beno Malisa walishaitosa CCM?
 

wewe ni yule waziri wa habari wa serikali Iraq na Sadam Husein, iliyo angushwa na wamarekani?!
 

Hii nimeipenda! imekaa vizuri m2 wangu!
 

sitting allowance unalipwa shingapi mkuu?
 
CDM inachekesha sana adui muombee njaa,CCM ushindi 2015 utakuwa wa Tsunami habari ndo iyo

CCM Msijipe matumaini ya kushinda Urais 2015 bali mjiandae kuombeleza kifo rasmi cha ccm ni 2015.
 
Neno kijiji kizima ni zito hebu tuambie hadi watoto wa chini ya miaka 18 nao wamo?

Kijiji kina watu wangapi hadi ukajua kwamba wote wamehamia CHADEMA?

Tuwe macho kuongeza chumvi nyingi hata kama habari ni ya kweli inaharibika
wewe akili yako ni kama ****** yako usipotaka soma habari humu kasome gazeti lauhuru na sikiliza tbc1:israel:
 
Asante kwa taarifa..
 
CDM inachekesha sana adui muombee njaa,CCM ushindi 2015 utakuwa wa Tsunami habari ndo iyo
ngoja tumsubiri na katibu wako mwenezi Nape aka 'Thomaso' akitaka apewe majina ndio aamini!
 
Neno kijiji kizima ni zito hebu tuambie hadi watoto wa chini ya miaka 18 nao wamo?

Kijiji kina watu wangapi hadi ukajua kwamba wote wamehamia CHADEMA?

Tuwe macho kuongeza chumvi nyingi hata kama habari ni ya kweli inaharibika

Tatizo siyo NENO, tatizo ni kichwa chako ndiyo kizito!
 
Whenever wananchi have decided, they never give up because its no longer a movement in their brains but it is a movement in their hearts.
 

kamanda wa jeshi la ardhini, big up sana kwa uzi huu wa leo. Lakini siamini hadi nione hizo picha kaka. Acha kututania ringo. Tutakutoa nduki humu kama huweki hizo picha, adhawaizi hongera sana kutuvutia uzi huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…