Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Mapato na matumizi yatatolewa kwa wananchi kupitia mikutano zitakazokuwa zinafanyika, either kupitia STARTV ama mikutano ya moja kwa moja.
Chadema nawapongeza kwa harambee yenu mliyofanya Arusha, cha msingi ni kufahamishwa matumizi ya michango yenu imetumikaje.