Mh!Mkuki kwa nguruwe.Ulivyotukana tukakuvumilia ukadhani hatujui kashfa eh.Pole Ukiona mtu yuko kinyume naye usianze kumtukana kwani na huyo mtu naye anayajua.Pole.
Ulipoanza nilikuvumulia kwa muda nilipoona unafanya mazoe nikamuua kukuonyesha kuwa hata mimi na uwezo wa kujibu kama unavyofanya.A golden rule usichopenda kutetendewa usimtendee mwenzeko.
Mkuu hebu nionyeshe tusi hata moja toka nimeandika. Sijatumia tusi kama nilivyojibiwa, mara oooh mi nalawitiwa! mara mimi mpumbavu! n.k lakini sijathubutu kujibu hivyo, iweje unasema eti ulinivumilia mara sijui mkuki kwa nguruwe!, acha kusema uongo.
Mkuu hebu nionyeshe tusi hata moja toka nimeandika. Sijatumia tusi kama nilivyojibiwa, mara oooh mi nalawitiwa! mara mimi mpumbavu! n.k lakini sijathubutu kujibu hivyo, iweje unasema eti ulinivumilia mara sijui mkuki kwa nguruwe!, acha kusema uongo.
Jenga hoja ya misingi na itikad ya chama chako ili watu wakuelewe na si kuangalia ulikotoka. Kama ulitoka chadema sahau Cdm, maaana lengo lako syo chadema ila kushka hatamu ya uongoz ktk nchi. Kumbuken Ludism na Chartism.