Mkuu umeongea jambo la maana sana.Tatizo la vichwa vilivyopo Lumumba IQ zao ni ndogo zaidi ya ubongo wa kiroboto!
Wanadai CHADEMA imekufa, mara itakufa,kinachonishangaza ni kuona watu wanaopigana na CHADEMA kila kukicha, wakati huohuo eti imekufa,so they are fighting a dead person!SHAME ON THEM!CHADEMA inazidi kuimarika zaidi na zaidi, ndicho kinachowachanganya na kuamka kila siku na propaganda na mbinu mfu za karne iliyopita!
Vipi Kale ka chama kenu kamchepuko ka CCM kanaendeleaje?
Mmetushindwa wakati mkiwa na Akili ni sasa ambapo mmekuwa MAPUNGUWANI?
Act ni kiboko ya chadema..
Njoo na ID Yako halisi hapa.Utumbo ni upi sasa, na kwa nini chadema wanakuwa na hofu Ludovick anapoongea na media? wanaficha nini?
B.G Tantawi wewe ni mmoja wa mazwazwa aliyoyasema mwanachma mahiri wa cdm. Leo ndo nimegundua toka kwako MAZWAZWA ni wapi. Yaani CDM hawakutumia IQ kwa swala lakwenda mahakamani au uzwazwa unakusumbua!!!!!!!!!Kama kwako hili si la maana waachie wenzio wanaoona la maana. Chadema waliona la maana ndiyo maana walitafuta mawakili mahiri, walienda mahakamani, kuliwekea zuio
Njoo na ID Yako halisi hapa.
Kwani wewe bado hujajiunga kwenye kile kichama chenu cha Jumuiya ya Wasaliti na CCM (ACT)? Nauliza tu! Gaidi Mkuu (GK)
Ni hatari na Tishio kwa Udhalimu wenu mnaopanga kila kukicha.Mliona kila kona mnakabwa na Idara ya Ulinzi ya CDM chini ya Lwakatare, na kwa kushirikiana na WASALITI mkaamua kufanya kitu cha kipumbavu kuwahi kutokea.Case ya Ugaidi mmeshindwa, na hii ya Conspiracy mtashindwa tu, Hamchomoki, na IDARA YA ULINZI YA CDM ni IMARA ZAIDI kuliko Mwanzo!
Jana ilikuwa siku ya ile kesi ya Lwakatare na Ludovick. Gazeti la Mtanzania limeanza kuchapisha mfululizo wa mahojiano liliyofanya na Ludovick kuhusu kuhusishwa kwake na mambo mbalimbali ikiwamo ugaidi.linaendelea jumapili ijayo. sasa chadema kwa hofu yao kuwa yawezekana ametoboa siri kuu ya uongo wa chadema kuwa mkanda wa video ya Lwakatare ulikuwa kweli na ni yeye aliurekodi, walikuwa wanaomba mahakama isuie gazeti la Mtanzania liache kuchapa mahojiano yake na Ludovick.
Hakimu, Mh. Mchauru akakataa ombi hilo na kusema kwa kuwa CHADEMA wanaongelea kuwa gazeti linachapisha mambo yanayomhusu mtuhumiwa namba mbili Ludovick na kwa kuwa wao siyo mawakili wa Ludovick, basi waache Ludovick mwenyewe alalamike kwani anao mdomo. na akasema anawaekeza kuacha kuingilia mambo ya mtuhumiwa namba mbili,Ludovick kwani wao siyo mawakili wake.
Ludovick alipoulizwa kama ana la kuongea, hakuongelea mambo ya gazeti, jambo ambalo liliwaumbua sana upande wa Lwakatare. hakika iko siku uongo wao utaanikwa tu.
naona wewe unatamka watu waanze kuuliza yule aliye ampa kuwa ana ushahidi duniani na mbinguni aitwe apeleke sijui atasemaje, tulia bwana mdogo ngoma ya ccm na cdm ngumu na kwa uhalisia ccm wameshindwa.