CHADEMA waumbuka mahakamani

CHADEMA waumbuka mahakamani

Plato

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2010
Posts
420
Reaction score
94
Jana ilikuwa siku ya ile kesi ya Lwakatare na Ludovick. Gazeti la Mtanzania limeanza kuchapisha mfululizo wa mahojiano liliyofanya na Ludovick kuhusu kuhusishwa kwake na mambo mbalimbali ikiwamo ugaidi.linaendelea jumapili ijayo. sasa chadema kwa hofu yao kuwa yawezekana ametoboa siri kuu ya uongo wa chadema kuwa mkanda wa video ya Lwakatare ulikuwa kweli na ni yeye aliurekodi, walikuwa wanaomba mahakama isuie gazeti la Mtanzania liache kuchapa mahojiano yake na Ludovick.

Hakimu, Mh. Mchauru akakataa ombi hilo na kusema kwa kuwa CHADEMA wanaongelea kuwa gazeti linachapisha mambo yanayomhusu mtuhumiwa namba mbili Ludovick na kwa kuwa wao siyo mawakili wa Ludovick, basi waache Ludovick mwenyewe alalamike kwani anao mdomo. na akasema anawaekeza kuacha kuingilia mambo ya mtuhumiwa namba mbili,Ludovick kwani wao siyo mawakili wake.
Ludovick alipoulizwa kama ana la kuongea, hakuongelea mambo ya gazeti, jambo ambalo liliwaumbua sana upande wa Lwakatare. hakika iko siku uongo wao utaanikwa tu.
 
Jana ilikuwa siku ya ile kesi ya Lwakatare na Ludovick. Gazeti la Mtanzania limeanza kuchapisha mfululizo wa mahojiano liliyofanya na Ludovick kuhusu kuhusishwa kwake na mambo mbalimbali ikiwamo ugaidi.linaendelea jumapili ijayo. sasa chadema kwa hofu yao kuwa yawezekana ametoboa siri kuu ya uongo wa chadema kuwa mkanda wa video ya lwakatare ulikuwa kweli na ni yeye aliurekodi, walikuwa wanaomba mahakama isuie gazeti la mtanzania liache kuchapa mahojiano yake na Ludovick.
Hakimu,mh. Mchauru akakataa ombi hilo na kusema kwa kuwa chadema wanaongelea kuwa gazeti linachapisha mambo yanayomhusu mtuhumiwa namba mbili Ludovick na kwa kuwa wao siyo mawakili wa Ludovick, basi waache Ludovick mwenyewe alalamike kwani anao mdomo. na akasema anawaekeza kuacha kuingilia mambo ya mtuhumiwa namba mbili,Ludovick kwani wao siyo mawakili wake.
Ludovick alipoulizwa kama ana la kuongea, hakuongelea mambo ya gazeti, jambo ambalo liliwaumbua sana upande wa Lwakatare. hakika iko siku uongo wao utaanikwa tu,.

kama ni kweli hakimu kamcheka....kwa sababu aliyefanya mahojiano na gazeti atalalamikaje wakati alifanya hayo mahojiano ili yatoke....
 
Rubbish....Tumia IQ yako kulisaidia Taifa kwa mambo ya maana kama Rushwa, utawala bora, jinsi Taifa litakavyokabiliana na tofauti kubwa ya kipato kwa wananchi wake, nk.
 
Kwa bandiko hili nimeamini ni kweli wote wanaoishabikia CCM wana akili za Dead body
 
Umepost utumbo kaka na haya yote ni matokeo ya kukosa ajira!
 
Utumbo ni upi sasa, na kwa nini chadema wanakuwa na hofu Ludovick anapoongea na media? wanaficha nini?
 
Kuna siku watz tutajua ukwel kuhusu cdm.....kila mtu anapenda upizani ila co huu wa kikabila
 
Kimahakama,hilo ni jambo dogo sana. Hukupaswa hata kuja kuliandikia uzi.
 
Jana ilikuwa siku ya ile kesi ya Lwakatare na Ludovick. Gazeti la Mtanzania limeanza kuchapisha mfululizo wa mahojiano liliyofanya na Ludovick kuhusu kuhusishwa kwake na mambo mbalimbali ikiwamo ugaidi.linaendelea jumapili ijayo. sasa chadema kwa hofu yao kuwa yawezekana ametoboa siri kuu ya uongo wa chadema kuwa mkanda wa video ya Lwakatare ulikuwa kweli na ni yeye aliurekodi, walikuwa wanaomba mahakama isuie gazeti la Mtanzania liache kuchapa mahojiano yake na Ludovick.

Hakimu, Mh. Mchauru akakataa ombi hilo na kusema kwa kuwa CHADEMA wanaongelea kuwa gazeti linachapisha mambo yanayomhusu mtuhumiwa namba mbili Ludovick na kwa kuwa wao siyo mawakili wa Ludovick, basi waache Ludovick mwenyewe alalamike kwani anao mdomo. na akasema anawaekeza kuacha kuingilia mambo ya mtuhumiwa namba mbili,Ludovick kwani wao siyo mawakili wake.
Ludovick alipoulizwa kama ana la kuongea, hakuongelea mambo ya gazeti, jambo ambalo liliwaumbua sana upande wa Lwakatare. hakika iko siku uongo wao utaanikwa tu.

Sasa hapo kuumbuka kuko wapi? Hayo yalikuwa ni mabishano ya kswaida mahakamani. Au ndio ulikuwa kama fisi anayevizia kula kivuli cha mkono wa mpita njia porini?
 
Ndio maana nasema kila siku humu kuwa chadema kimejaa madikteta kabisa!
lilipo fungiwa gazeti la mwana walipiga kelele kweli!
Leo hii kwa hofu ya kuumbuka wanaomba mahakama wazibe midomo wahariri!
Hahaha ukweli lazima ujulikane tuu!

Hawa ndio huwa wako msatari wa mbele kusema wenzao wana zuia Uhuru wa vyombo vya habari!
 
Utumbo ni upi sasa, na kwa nini chadema wanakuwa na hofu Ludovick anapoongea na media? wanaficha nini?
hakuna anayehangaika na wasaliti mkuu , hayo ni mambo ya kisheria tu , kwamba yaliyoko mahakamani yasijadiliwe maana yanaweza kuingilia mwenendo wa kesi .
 
Kwa bandiko hili nimeamini ni kweli wote wanaoishabikia CCM wana akili za Dead body

Mmmh acha kujifanya hujui kusoma! Huoni chadema wanataka kukandamiza vyombo vya habari baada ya kuona wamelemewa? Judge kawaweza kweli!
Hawa ndio kila Leo huwanyooshea wenzao vidole kuwa wana kandamiza vyombo vya habari!
 
Mtaongea sana,CHADEMA ni mkombozi wa wewe na mimi.
 
Rubbish....Tumia IQ yako kulisaidia Taifa kwa mambo ya maana kama Rushwa, utawala bora, jinsi Taifa litakavyokabiliana na tofauti kubwa ya kipato kwa wananchi wake, nk.

Kama kwako hili si la maana waachie wenzio wanaoona la maana. Chadema waliona la maana ndiyo maana walitafuta mawakili mahiri, walienda mahakamani, kuliwekea zuio
 
Back
Top Bottom