lukindo
JF-Expert Member
- Mar 20, 2010
- 8,470
- 9,053
Wakati mafisadi wakitoa ahadi za matumaini na kufukuzana na kuwania kukimbilia ikulu, wanachama wa CHADEMA Kata ya Kashai Jimbo la Bukoba wao wameamua kutoa msaada wa vifaa vya kujifungulia wakina mama wajawazito katika kliniki.
Vifaa hivyo ni mabeseni 300, gloves 1,000, mipira ya plastic 300, jik maboksi kadhaa na kuahidi kuisaidia zaidi zahanati hiyo ili itoke katika matatizo mengi wanayokutana nayo wananchi.
Vifaa hivyo ni mabeseni 300, gloves 1,000, mipira ya plastic 300, jik maboksi kadhaa na kuahidi kuisaidia zaidi zahanati hiyo ili itoke katika matatizo mengi wanayokutana nayo wananchi.