Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,356
- 21,390
Hizo hela zilikuwa zinapigwa Na ile team iliyoko Nairobi...Msigwa katika mashavu Na kanawiri usipime
Wakati mwingine muwe mnatumia akili kidogo,huyo Msigwa anazichotaje pesa za hospitali wakati kwanza bado wanadaiwa na hospitali??
CCM Hamna ubinadamu kabisa kabisa.Chama kilifufa na aliyekianzisha ndiyo sababu kimakuwa Chama Cha Mauaji