We mbona mkaliWivu binafsi kwani chama cha chadema kimeanzishwa mwaka 2015? Chaguzi zilizo pita fedha walikua wanapata wapi? Tuanzie hapo pili.
Kabla aujapost upuuzi kama huu anza kujiuliza we ni nyani au Harmorapa?acha kiki za kishamba
Sioni kama kuna umuhimu wa kumtukana mwenzako