CHADEMA watadumaza nchi

CHADEMA watadumaza nchi

mochware

Member
Joined
Jan 7, 2014
Posts
70
Reaction score
27
Kwa kuwa sera yao ni kupinga wananchi wasishiriki kujitolea katika shughuli za maendeleo, wakiongoza nchi itadoda kama Arusha
 
Kwa kuwa sera yao ni kupinga wananchi wasishiriki kujitolea katika shughuli za maendeleo, wakiongoza nchi itadoda kama Arusha

Wewe umeishajitolea kipi hadi sasa kwa ajili ya maendeleo ya nchi? fedha za wananchi tunazochangia katika kodi mbalimbali mnaziiba mfano zile Billion 200 halafu kwa upu.mbavu ulionao unataka wananchi wachangie shughuli za maendeleo. Labda nikuulize katika ILANI YA CCM mnayojisifia ndio inayotumika kuongoza nchi kuna kipengere kinachozungumzia juu ya wananchi kuchangia rasilimali zao katika shuguli za maendeleo?
 
Kwa kuwa sera yao ni kupinga wananchi wasishiriki kujitolea katika shughuli za maendeleo, wakiongoza nchi itadoda kama Arusha
Mdau utasutwa kwa unafki shauri yako?Sasa CCM imeleta maendeleo gani au unaropoka kama mlevi wa mnazi?:A S-eek::A S-eek:
 
Arusha imedodaje?
Ina maana umesahau kuwa viwandavyote mliviua kabla hata chadema haijajulikana?
Mfano ni General tyre na philips.
Elezeni Ile reli kutoka bandarini Tanga ipo wapi acheni kuiwaza chadema.
 
Unajua chama kikiongozwa na muuza danguro usitegemee kuwa kitahamasisha maendeleo. Nchi ikiwa maskini ni mtaji kwake kwa vile idadi ya machangudoa itaongezeka ambao ndo mtaji wa biashara yake
 
Unajua chama kikiongozwa na muuza danguro usitegemee kuwa kitahamasisha maendeleo. Nchi ikiwa maskini ni mtaji kwake kwa vile idadi ya machangudoa itaongezeka ambao ndo mtaji wa biashara yake

Hujui kuwa Hiyo blicana tumeshakula kodi yake sana au hujui nchi yako inaendeshwa na vilevi?
 
Unajua chama kikiongozwa na muuza danguro usitegemee kuwa kitahamasisha maendeleo. Nchi ikiwa maskini ni mtaji kwake kwa vile idadi ya machangudoa itaongezeka ambao ndo mtaji wa biashara yake

Tatizo lako wawe na Mleta Mada mnaogopa tutawafichua kwani kiboko yenu ni chadema tu
 
Kwa kuwa sera yao ni kupinga wananchi wasishiriki kujitolea katika shughuli za maendeleo, wakiongoza nchi itadoda kama Arusha
Huwa mnalipwa shg ngap kwa thread?

Kweli wanye degree waanze kufundisha primary labda mtabadilika muweze hata kujenga hoja.
 
Tuache basi kutukanana ili tujadili chadema wana lipi jipya zaidi ya unafiki na kuchochea wananchi kuipinga serikali yao
 
Hakuna ulevi wala bange,chadema wanafiki.mmewapotosha wenzenu mkaunda ukawa,leo mnajifanya kuongea kwa niaba ya ukawa.
 
CCM ndiyo imedumaza maendeleo ya nchi hii ukilinganisha hata na kasi ya maendeleo waliyokuwa nayo wakoloni. Inasikitisha kuona nchi yenye madini ya kila aina, misitu wanyamapori, vyanzo vya maji, gas na ardhi yenye rutuba bado inategemea misaada ya wahisani. Inatia kinyaa kuona ndani ya miaka 50 ya uhuru, bado kuna majitu yenye akili finyu au uroho wa mali kama wewe mochware yakiendelea kushabikia CCM.
 
Last edited by a moderator:
Kama kweli kweli CHADEMA watapinga michango lazima mwakani nipige kura kuwachagua maana michango ya mwenge imenichosha
 
ccm mmeidumaza nchi mara ngapi mmeua viwanda vingapi mmeuza nyumba ngapi za mashirika mikataba mibovu mingapi pesa za epa pesa za rada mabilioni ya iptl ufisadi wa richmond ujangili madawa ya kulevya yote yamesababishwa na ccm
 
Huwa mnalipwa shg ngap kwa thread?

Kweli wanye degree waanze kufundisha primary labda mtabadilika muweze hata kujenga hoja.

jibu hoja ya mleta mada acha kuweweseka kama mtetea anayetaka kutaga
 
Mdau utasutwa kwa unafki shauri yako?Sasa CCM imeleta maendeleo gani au unaropoka kama mlevi wa mnazi?:A S-eek::A S-eek:

Tunajua kuwa probably wewe ni kipofu, yaani huoni lami? huoni umeme? huoni shule za msingi na sekondari? huoni vyuo vikuu? huoni hospitali, zahanati? huoni maji?

Mfadhili mbuzi!
 
Back
Top Bottom