theki
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 2,721
- 587
Hayo maneno yako au kuna sehemu unaigilizia huo umeme uko wapi wewe una data kweli?unajua Tanzania asilimia ngapi wana umeme?Hizo hospitali mwananyamala wamama wajawazito wasinge lala 2 kwenye kitanda.Au mwenzangu unajifanya kwenu masaki unatibiwa Trauma kule kwa dollar?Siku nyingine jiangalie kabla hujaandika wewe?Tunajua kuwa probably wewe ni kipofu, yaani huoni lami? huoni umeme? huoni shule za msingi na sekondari? huoni vyuo vikuu? huoni hospitali, zahanati? huoni maji?
Mfadhili mbuzi!