Kutokana na hali ninayoiona hadi sasa kuna suala zima la kuboresha daftari la wapiga kura ambapo kila mtu hasa wa CDM wanalalamika kuhusu daftari la wapiga kura halijaboreshwa.Ni vema CDM wakasusia uchaguzi huu mdogo wa Arumeru kwani daftari la wapiga kura halijaboreshwa nina chelea kusema kuwa isije siku matokeo yanatangazwa magamba wameshinda halafu tuone sababu ya kushindwa CDM ikatolewa kuwa daftari la wapiga kura halikuboreshwa.Nisingependa sababu hii ikawepo hapo baadaye baada ya kushindwa.