Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,268
lakini kufukuzwa peke yake bado hujapoteza ushahidi. kama ingekuwa lengo ni hilo basi labda na kesi yenyewe isingeibuliwa. halafu cha kushangaza zaidi wote hawa walikuwa team Lowasa. Bashir, Kitilya na wale wengi wakubwa wakubwa ambao wamesimamishwa kule TRA na Bandari. ni hatari iliyokuwa imetuzunguka
Umemsahau jk