Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,199
CHADEMA Makao Makuu,
kwa jinsi nisivyokua na shaka yoyote juu ya hekima na upeo wenu mkubwa wakutulia na kusoma mazingira ya kisiasa uzuri mpaka wengine wasioona mbali kuanza kuona kama vile hampo hai sana kisiasa, na hasa katika vipindi vya hati hati za CCM na serikali yake kutafuta KUKIIMARISHA ZAIDI CHAMA CHETU NA AZMA YA MABADILIKO KWA KUTUPITISHA KWENYE TANURI LA KESI ZA KUCHONGA KAMA ILE YA KAMANDA LWAKATARE, napata msukumo wa kutimiza wajibu wangu kukishauri chama changu kutumia sehemu ya hizi fedha (millioni 400) tulizozipata toka kwa mashirika rafiki nje ya nchi kuimarisha zaidi taasisi zetu za kichama kama vile BAVICHA, BAWACHA, M4C na uongozi wa chama mashinani ili kujiweka vizuri zaidi kushika dola kwa ridhaa ya umma wa Tanzania hapo 2015.
kwa jinsi nisivyokua na shaka yoyote juu ya hekima na upeo wenu mkubwa wakutulia na kusoma mazingira ya kisiasa uzuri mpaka wengine wasioona mbali kuanza kuona kama vile hampo hai sana kisiasa, na hasa katika vipindi vya hati hati za CCM na serikali yake kutafuta KUKIIMARISHA ZAIDI CHAMA CHETU NA AZMA YA MABADILIKO KWA KUTUPITISHA KWENYE TANURI LA KESI ZA KUCHONGA KAMA ILE YA KAMANDA LWAKATARE, napata msukumo wa kutimiza wajibu wangu kukishauri chama changu kutumia sehemu ya hizi fedha (millioni 400) tulizozipata toka kwa mashirika rafiki nje ya nchi kuimarisha zaidi taasisi zetu za kichama kama vile BAVICHA, BAWACHA, M4C na uongozi wa chama mashinani ili kujiweka vizuri zaidi kushika dola kwa ridhaa ya umma wa Tanzania hapo 2015.