PreGE2025 Chadema wapeleka ushahidi waliomteka mdude

PreGE2025 Chadema wapeleka ushahidi waliomteka mdude

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,566
Reaction score
2,485
Hii ndiyo maana halisi ya haki haiombwi, tukiweza kutokomeza sintofahamu hizi za wasiojulikana wanaojulikana , nchi itakuwa na amani hii
 
Hii ndiyo maana halisi ya haki haiombwi, tukiweza kutokomeza sintofahamu hizi za wasiojulikana wanaojulikana , nchi itakuwa na amani hii
Hicho ni kikosi kazi maalum cha kulinda watawala wasisumbuliwe!
 
Hicho ni kikosi kazi maalum cha kulinda watawala wasisumbuliwe!
Can u imagine kwamba watu wanaua raia wasio na hatia kwa sababu ya kukosolewa tu, Africa ni Africa tu , ndiyo maana hatuendelei
 
Wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wamedai kuwa wataendelea kuandamana kwenda Ofisini kwa Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Mbeya kwa lengo la kumpa ushahidi wa watu wanaodai ni askari wamehusika na tukio la kumteka na kumjeruhi Mpalukwa Nyagali, maarufu Mdude na kuwataka wamrudishe.
View attachment 3324566
Tumshukuru mheshimiwa rais daktari profesa Samia Suluhu Hassan kuwawezesha kukusanya ushahidi
 
Good move! I wish you all the best.
Nendeni kila siku
 
Back
Top Bottom