CHADEMA wanaweweseka


Wakati huo tutakuwa ikulu
 

Pole sana kwa kumbwela mbwela,cdm sasa hivi ndiyo habari ya nchini tanzania
 
Kwa hiyo Dkt mangungu unataka kusema kuwa chama Tawala CCM hivi sasa hofu yake iko kwa ACT maana hao wengine ni wa maonyesho? Unataka watu wenye akili waelewe hivyo?

Hao wanatumikia 700m
 
kuzomea ni tabia ya kivuta bangi.na chadema kwao wameona hiyo ni sifa nzuri.nawahakikishia hakuna mvuta bangi atakayeingia ikulu.chadema ikulu mtaisikia tu.ngojeni muone mwaka huu mnabaki na wabunge wangapi.

Naona siku ya kutangaza wabunge ndio utajitia kitanzi,andika kabisa wosia kwa watoto wako hata kama ni vishati vyako tu na yeboyebo tu
 

Mkuu kipindi kile alipelekwa na kwa kupitia ubunge wa cdm,leo hii atamjali nani? Hiyo ela ya kampeni anasubiri apewe na walio mtuma toka lumumba!
 
Kuna huyu member Mmawia.

Ni kiboko kwa kutuma post JF anaweza kuwa anaongoza.

Kila dakika moja anatuma post moja.
 
Last edited by a moderator:
Angalia huu wastani wake wa kutuma post.

1) 4:19

2) 4:20

3) 4:22

4) 4:23

5) 4:24

6) 4:25

7) 4:27

8) 4:29

10) 4:32


Hii speed siyo mchezo.
 
Wew hujui kitu ukiachilia tabora sehemu nyingine ambayo ACT itakuwa na ngome kubwa ni huko mtwara
Teeeeh,teeeeh,teeeeeh,mtwara hesabuni maumivu,ngome yenu ni mwandiga tu.
 
Wew hujui kitu ukiachilia tabora sehemu nyingine ambayo ACT itakuwa na ngome kubwa ni huko mtwara

Teeeeh,teeeeh,kwa mtwara msahau kabisa ngome yenu ni huko mwandiga na kayenzi.
 
Angalia huu wastani wake wa kutuma post.

1) 4:19

2) 4:20

3) 4:22

4) 4:23

5) 4:24

6) 4:25

7) 4:27

8) 4:29

10) 4:32


Hii speed siyo mchezo.

Nimecheka sana jioni ya leo,waiter ebu niongezee hiyo castle bariiiidiiiiii
 

Always Lies will never prevail the truth.....nw kwa Uzi huu act ni branch ya massm.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…