CHADEMA wanaweweseka

ccm mmepata msaidizi wenu zito, mbona mnaongea hovyo? shukruni kumpata lakini cdm haitatetereka. ukimzomea zito umezomea mafisadi wa ccm. shukuruni mna msaidizi!!
 
sasa mtoa mada mpaka video zipo zikionyesha Zitto alizomewa mpaka akashindwa kushuka kwenye gari kupaniki na kuweweseka kwako hatasaidia viongozi wa ACT kutozomewa cha muhimu mkiwa mnafanya mkutano wenu msiitaje CHADEMA kwani mtakuwa mnazomewa kila siku mwisho wa siku mtapigwa mawe .
 
Mleta mada wewe si mwandishi huru kwani staili yako ya uandishi, hasa title ya thread inaonesha unayo maslahi fulani.
 
Chadema kinaweza kuwa chama cha majuha wanashabikia mambo ya kitoto km kuajiri watu kwa ajili ya kuzomea
 
SUGU ameshindwa kumuongoza mke, mpaka wanapelekana mahakamani ataweza kuongoza MBEYA MJINI?

Msalani utaweweseka sana mzee,kibarua ndio kinenda mwishoni baada ya october utabakia kuwa omba omba.
 
aibu kubwa mtaipata mtwara kwa wana CUF.

Wamejidanganya kwa kufuata huruma ya uislam mtwara na lindi,kumbe wamebugi sana watu sasa hivi wamesahau udini na sasa ni kitu kimoja wakristu na waislam.
 
Hapa kwa Mary Mwanjelwa sikubaliani na wewe.


Mary Mwanjelwa hafanyi hizo siasa chafu, huyu ndiye mbunge mteule wa Mbeya Mjini.

Mwanjerwa aliye kuwa analilia kupewa uwaziri?
 

Mkuu ndio maana tunaamini na kuendelea kuwajulisha wananchi waamini hilo kuwa act ni ccm b
 
CHADEMA wanadhani wakipandikiza vijana wa kihuni kuzomea ndio watashinda uchaguzi, ni mawazo muflisi, msidhani.kuwa hata vyama vingine haviwezi kufanya mbinu za kupanga watu wa kumzome Slaa au.Mbowe lakini je ndio siasa za kistaarabu hizi? ngojeni oktoba dawa yenu inachemka.
 
Unaweza kuthibitisha kuwa sugu hawezi uoongozi? Au kutibitisha tukio hilo limeratibiwa na yeye? Kipi sahihi za kutengenezwa au vijana walitumwa?

Mkuu husijisumbue na msalani,huyo ni kilaza tu
 
Wamejidanganya kwa kufuata huruma ya uislam mtwara na lindi,kumbe wamebugi sana watu sasa hivi wamesahau udini na sasa ni kitu kimoja wakristu na waislam.

nani kakudanganya kwamba cuf wako tayari kuongozwa na padri!
 

Kwa zomea waliyo ipata bukoba,geita na mbeya hawata kaa wasahau
 
Last edited by a moderator:

Ni ishara kuwa mbwa mwitu wamekuja kwa ngozi ya kondodo (ccm wamekuja kwa kivuli cha act). Tatizo ni kuwa hawafahamu kuwa matendo yao hayawatofautishi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…