Kaka yangu yupo kule ananiambia pamepooza sana, CDM wamezomewa katika baadhi ya mitaa, hali si shwari. Taarifa zaidi zitawajia.
ndoto hizo,mbona kakako kaniambia upo polis unatoa taarifa ya kuporwa kipenzio na rijal wenu ccmagambas aka m------.
Kaka yangu yupo kule ananiambia pamepooza sana, CDM wamezomewa katika baadhi ya mitaa, hali si shwari. Taarifa zaidi zitawajia.
leo cdm wanazindua kampeni zao Arumeru,nw wapo maeneo ya USA krb na chuo kikuu Tumaini Makumira,FFU kila kona ya USA,vijana wa chadema wamejipanga kila kona yani ni chamrachamra za kutosha,kwa mbali naona helkopta ya chadema inapita juu,toyo zote zimeamia cdm,kwa mbali naona gari ya wazi yenye bendera ya cdm imebeba WAZUNGU nao wapo kwenye kampeni. Kwenye daladala wakina mama wanasema hawawezi chagua mtu aliyewekwa kwa maslai ya wengine.Tutazidi kujuzana zaidi bse nipo hapa chuo ila nw naelekea twn.haujambo?MUNGU ATUKUZWE,hbr ya uzima wako?wewe ni mzma kbs?
Kaka yangu yupo kule ananiambia pamepooza sana, CDM wamezomewa katika baadhi ya mitaa, hali si shwari. Taarifa zaidi zitawajia.
Im swalowing ma saliva! Watu wote wa Arumeru walikua ccm. Ila leo viongozi wao wanashinda vikaoni, wakijiuliza imekuje jamani? Nimemckia mwenyekiti wa kata moja akitamka kwenye kijiwe ' sawa bwana acha cdm ichukue manaana sisi hatuelewi awa wakubwa wanafanya nini? ' now, wht do u expect? Haya!
kaka yako atakuwa pemba si arusha lema ni kama prezida wa arusha kama waamerika weusi walivyokuwa wanamuona martin luther king ndivyo wanavyomuona lema angalia star tv saa 9 ndo utajuaKaka yangu yupo kule ananiambia pamepooza sana, CDM wamezomewa katika baadhi ya mitaa, hali si shwari. Taarifa zaidi zitawajia.
Kaka yangu yupo kule ananiambia pamepooza sana, CDM wamezomewa katika baadhi ya mitaa, hali si shwari. Taarifa zaidi zitawajia.
Kwi kwi kwi teh teh teh, hao wazungu ni wa kile chama cha Kikatoliki cha siasa cha Ujerumani CDU?
Umeshasema umeambiwa!Kaka yangu yupo kule ananiambia pamepooza sana, CDM wamezomewa katika baadhi ya mitaa, hali si shwari. Taarifa zaidi zitawajia.
kaka ako anaitwa Mwigulu mchembaKaka yangu yupo kule ananiambia pamepooza sana, CDM wamezomewa katika baadhi ya mitaa, hali si shwari. Taarifa zaidi zitawajia.
Kaka yangu yupo kule ananiambia pamepooza sana, CDM wamezomewa katika baadhi ya mitaa, hali si shwari. Taarifa zaidi zitawajia.
Star Tv wapo kibiashara zaidi wanatoa habari zenye mvuto katika jamii, habari zitakazo attract maelfu ya watazamaji, subiri jumatatu utaona live uzindizi wa ccm. Star tv haipromote ukabila, kuonyesha uzindizi wa cdm ni kupromote ukabila jambo ambalo ni kinyume cha maadili ya vyombo vya habari.