Wachezaji wa CCM vs Chadema Arumeru, soma role zao, utaipenda sana

ibange

JF-Expert Member
Dec 31, 2010
1,543
550
Hivi ndivyo vilikuwa vikosi kazi vya CCM NA CHADEMA katika kampeni ARUMERU, na kila mtu alikuwa na Majukumu yake..,hapa ndio tutajua kwanini CCM walishindwa na CHADEMA walishinda..!

Hiki ndicho Kikosi kazi cha CCM na Majukumu yao!

1.Mwigulu Nchemba..Kazi yake ilikuwa kuongoza Kampeni na Kuwadanganya wananchi
...
2.Livingstone Lusinde..Kazi yake ilikuwa moja tu Matutsi na Propaganda

3.Stephen Ngonyani (Prof.Maji marefu)..,Kazi yake ilikuwa moja tu Kuroga na kufanya kazi ya Uganga(Uchawi) na Ushirikina

4.Christopher Ole Sendeka..,Kazi yake ilikuwa Kuendesha kampeni za Kikabila na chuki.,alihamasisha watu wampinge Vincent kisa eti anatoka musoma

5.January Makamba..,kazi yake ilikuwa ni kuhamasisha vijana waipigie kura CCM kwa kuwalaghai kwa pesa na ahadi za kuwanunulia Pikipiki (toyo)

6.Kapteni Komba..,Kazi yake ilikuwa kuimba tu

7.Stephen Wasira,.Kazi yake ilikuwa moja tu..UMBEA

8.Esther Bundala,,.Huyu Alikuwa hajui kaenda Arumeru kufanya nini..? kwa kifupi hajielewi kwanini ni mbunge na wajibu wake ni nini ndani ya chama na serikali

9.Ben Mkapa..Huyu mmmh.Mungu amsamehe kwani hajui atendalo

10.Mary Nagu=sijui kazi yake ilikuwa nini..,maank wananchi hawakumuelewa kitu alichokuwa anaongea jukwaani sijui ecology,mara economics sijuy zonal..mmmh

Sasa tucheki kikosi kazi cha Chadema..,ambao walikuwa wachache tu

1.Vincent Nyerere..,Huyu alikuwa kiongozi wa kampeni

2.Mchungaji Msigwa..Huyu kazi yake ilikuwa ni kupambana na Fitna, na Ushirikina (Uchawi)

3.Joseph Mbilinyi ''SUGU''-Kazi yake ilikuwa ni kuhamasisha vijana wapige kura CDM.,NA kujua hali halisi za Masela {vijana wa mtaani}

4.Mchungaji Natse-Huyu Pia kazi yake ilkuwa kupambana na Mapepo na Uchawi ukizingatia Nguvu nyingi ya Uchawi ilitumika..,Na pia kumwaga sera kwa wananchi

5.Dk.Slaa,Zitto na Mbowe- Hawa niwaache tu maanak hawa watu ni exclusive..,nadhani kazi zao mnazijua
6.Halima mdee-kazi yake ilikuwa kuhamasisha wanawake kupiga kura na kinadada

7.Godbless lema-kazi yake ilikuwa kuhamasisha vijana kulinda kura zao kwa ujasiri
 
Godbless Lema kapambana vyema kuhakikisha swahiba yake Nassari anafika bungeni. Chadema chama kubwa!
 
hicho kikosi cha chadema kilikuwa na watu wachache lakini muhimu mno yaani jama nawafananisha kama vile walikuwa wanacheza na bacelona nusu yaani ambayo haija timia na imewapiga bao la kisigino
 
Naomba tuendelee kupiga kambi tusibweteke na ushindi huu! Ccm wamisha ingia kambini kwa hio tuwe macho! Siku si nyingi tutakuwa na uchaguzi mwingine wa mbuge, na kabla ya 2015 tutakuwa na chaguzi zingine kama nane! Note maneno yangu maana hawa magamba yatamalizana kwa visasi
 
Ccm mbona nasikia walikuwa wanapigia simu mawaziri ili watoe ahadi za kilaghai kwa nini hawajachaguliwa?
 
Hivi ndivyo vilikuwa vikosi kazi vya CCM NA CHADEMA katika kampeni ARUMERU, na kila mtu alikuwa na Majukumu yake..,hapa ndio tutajua kwanini CCM walishindwa na CHADEMA walishinda..!

Hiki ndicho Kikosi kazi cha CCM na Majukumu yao!

1.Mwigulu Nchemba..Kazi yake ilikuwa kuongoza Kampeni na Kuwadanganya wananchi
...
2.Livingstone Lusinde..Kazi yake ilikuwa moja tu Matutsi na Propaganda

3.Stephen Ngonyani (Prof.Maji marefu)..,Kazi yake ilikuwa moja tu Kuroga na kufanya kazi ya Uganga(Uchawi) na Ushirikina

4.Christopher Ole Sendeka..,Kazi yake ilikuwa Kuendesha kampeni za Kikabila na chuki.,alihamasisha watu wampinge Vincent kisa eti anatoka musoma

5.January Makamba..,kazi yake ilikuwa ni kuhamasisha vijana waipigie kura CCM kwa kuwalaghai kwa pesa na ahadi za kuwanunulia Pikipiki (toyo)

6.Kapteni Komba..,Kazi yake ilikuwa kuimba tu

7.Stephen Wasira,.Kazi yake ilikuwa moja tu..UMBEA

8.Esther Bundala,,.Huyu Alikuwa hajui kaenda Arumeru kufanya nini..? kwa kifupi hajielewi kwanini ni mbunge na wajibu wake ni nini ndani ya chama na serikali

9.Ben Mkapa..Huyu mmmh.Mungu amsamehe kwani hajui atendalo

10.Mary Nagu=sijui kazi yake ilikuwa nini..,maank wananchi hawakumuelewa kitu alichokuwa anaongea jukwaani sijui ecology,mara economics sijuy zonal..mmmh

Sasa tucheki kikosi kazi cha Chadema..,ambao walikuwa wachache tu

1.Vincent Nyerere..,Huyu alikuwa kiongozi wa kampeni

2.Mchungaji Msigwa..Huyu kazi yake ilikuwa ni kupambana na Fitna, na Ushirikina (Uchawi)

3.Joseph Mbilinyi ''SUGU''-Kazi yake ilikuwa ni kuhamasisha vijana wapige kura CDM.,NA kujua hali halisi za Masela {vijana wa mtaani}

4.Mchungaji Natse-Huyu Pia kazi yake ilkuwa kupambana na Mapepo na Uchawi ukizingatia Nguvu nyingi ya Uchawi ilitumika..,Na pia kumwaga sera kwa wananchi

5.Dk.Slaa,Zitto na Mbowe- Hawa niwaache tu maanak hawa watu ni exclusive..,nadhani kazi zao mnazijua
6.Halima mdee-kazi yake ilikuwa kuhamasisha wanawake kupiga kura na kinadada

7.Godbless lema-kazi yake ilikuwa kuhamasisha vijana kulinda kura zao kwa ujasiri

CCM walishikwa pabaya, wanaona haya wanainama wanainuka, wanaona haya haoooooo!!!!!!!!!!!!!
(Haki yaishinda nguvu ya pesa-salamu hizooooo kwa JK na mavuvuzela wenzake).
 
Ngoma ilichezwa kifundi zaidi, kuna uzi mwigulu alilifananisha gamba baca, nikamwambia jk alishawahi pewa jezi ya real madrid, hivyo chadema ndo baka na gamba ndo real m, ni lazima wapigwe bao, imekuwa kweli.
 
hivi ndivyo vilikuwa vikosi kazi vya ccm na chadema katika kampeni arumeru, na kila mtu alikuwa na majukumu yake..,hapa ndio tutajua kwanini ccm walishindwa na chadema walishinda..!

Hiki ndicho kikosi kazi cha ccm na majukumu yao!

1.mwigulu nchemba..kazi yake ilikuwa kuongoza kampeni na kuwadanganya wananchi
...
2.livingstone lusinde..kazi yake ilikuwa moja tu matutsi na propaganda

3.stephen ngonyani (prof.maji marefu)..,kazi yake ilikuwa moja tu kuroga na kufanya kazi ya uganga(uchawi) na ushirikina

4.christopher ole sendeka..,kazi yake ilikuwa kuendesha kampeni za kikabila na chuki.,alihamasisha watu wampinge vincent kisa eti anatoka musoma

5.january makamba..,kazi yake ilikuwa ni kuhamasisha vijana waipigie kura ccm kwa kuwalaghai kwa pesa na ahadi za kuwanunulia pikipiki (toyo)

6.kapteni komba..,kazi yake ilikuwa kuimba tu

7.stephen wasira,.kazi yake ilikuwa moja tu..umbea

8.esther bundala,,.huyu alikuwa hajui kaenda arumeru kufanya nini..? Kwa kifupi hajielewi kwanini ni mbunge na wajibu wake ni nini ndani ya chama na serikali

9.ben mkapa..huyu mmmh.mungu amsamehe kwani hajui atendalo

10.mary nagu=sijui kazi yake ilikuwa nini..,maank wananchi hawakumuelewa kitu alichokuwa anaongea jukwaani sijui ecology,mara economics sijuy zonal..mmmh

sasa tucheki kikosi kazi cha chadema..,ambao walikuwa wachache tu

1.vincent nyerere..,huyu alikuwa kiongozi wa kampeni

2.mchungaji msigwa..huyu kazi yake ilikuwa ni kupambana na fitna, na ushirikina (uchawi)

3.joseph mbilinyi ''sugu''-kazi yake ilikuwa ni kuhamasisha vijana wapige kura cdm.,na kujua hali halisi za masela {vijana wa mtaani}

4.mchungaji natse-huyu pia kazi yake ilkuwa kupambana na mapepo na uchawi ukizingatia nguvu nyingi ya uchawi ilitumika..,na pia kumwaga sera kwa wananchi

5.dk.slaa,zitto na mbowe- hawa niwaache tu maanak hawa watu ni exclusive..,nadhani kazi zao mnazijua
6.halima mdee-kazi yake ilikuwa kuhamasisha wanawake kupiga kura na kinadada

7.godbless lema-kazi yake ilikuwa kuhamasisha vijana kulinda kura zao kwa ujasiri
hongera makamanda!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom