Taarifa za kibank zinaonesha kuwa mara baada ya uchaguzi mkuu 2010 chadema wametoa shilingi milioni hamsini na sita tu (56,000,000/=) kutoka katika akaunti ya chama kwa ajili ya matumizi ya mikutano na kuendesha chama..!!!
Swali:
Je ni kweli kwamba mikutano yote ya vuguvugu la m4c na operesheni sangara imegharimu kiasi hiki kidogo cha fedha au kuna vyanzo vingine visivyo rasmi?
Nawakilisha...!!