bhikola
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,133
- 1,668
Hello peopleee
Nimemis sana siasa za CHADEMA ya Dr Slaa. Kipindi kile kila mtu alikuwa kamanda. Wasaliti wakawa wanafukuzwa chama bila kujali kama uchaguzi utaharibu hela za walipa kodi. Nani hakuwa shocked chadema walipofukuza madiwani wanne kwa mpigo kule Arusha? wakaja wakafukuza madiwani 2 Mwanza. Mwisho wa siku wakafukuza mpaka Mbunge kwa tatizo la usaliti. na walikuwa tayari kabisa chaguzi zifanyike bila kujali kuwa pesa nyingi za walipa kodi zingetumia. Walisema hiyo ndiyo demkrasia.
Miaka kadhaa baadaye, ni wasaliti wale wale wameamua kukisaliti chama na "kuhamia" au "kununuliwa" call it anyhow!! hawa wasaliti hawajataka kusubiri kufukuzwa chama. Sasa jambo la ajabu, chadema wanakuja na huruma ya kutumika kwa pesa nyingi kwenye chaguzi za marudio. wanakuja na swaga za kukanyagwa kwa demokrasia wakati watu wametumia uhuru wao wa "kuhama/kununuliwa".
Swali, chagadema wanakimbia kivuli chao? kwa sasa wanawataka wasaliti wa chama wabaki?
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
ZIDUMU FIKRA ZA MWENYEKITI WA TAIFA WA CCM
PEOPLEEEEEEEEEEEESSSSSSS!! POWERRRRR
MABADIRIKOOOOOO - LOWASAAAAAA: LOWASA - MABADIRIKOOOOOO
jamani mimi nimeandika tu, siyo mwanachama wa chama chochote cha siasa, lakini napenda na nafatilia siasa
Nimemis sana siasa za CHADEMA ya Dr Slaa. Kipindi kile kila mtu alikuwa kamanda. Wasaliti wakawa wanafukuzwa chama bila kujali kama uchaguzi utaharibu hela za walipa kodi. Nani hakuwa shocked chadema walipofukuza madiwani wanne kwa mpigo kule Arusha? wakaja wakafukuza madiwani 2 Mwanza. Mwisho wa siku wakafukuza mpaka Mbunge kwa tatizo la usaliti. na walikuwa tayari kabisa chaguzi zifanyike bila kujali kuwa pesa nyingi za walipa kodi zingetumia. Walisema hiyo ndiyo demkrasia.
Miaka kadhaa baadaye, ni wasaliti wale wale wameamua kukisaliti chama na "kuhamia" au "kununuliwa" call it anyhow!! hawa wasaliti hawajataka kusubiri kufukuzwa chama. Sasa jambo la ajabu, chadema wanakuja na huruma ya kutumika kwa pesa nyingi kwenye chaguzi za marudio. wanakuja na swaga za kukanyagwa kwa demokrasia wakati watu wametumia uhuru wao wa "kuhama/kununuliwa".
Swali, chagadema wanakimbia kivuli chao? kwa sasa wanawataka wasaliti wa chama wabaki?
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
ZIDUMU FIKRA ZA MWENYEKITI WA TAIFA WA CCM
PEOPLEEEEEEEEEEEESSSSSSS!! POWERRRRR
MABADIRIKOOOOOO - LOWASAAAAAA: LOWASA - MABADIRIKOOOOOO
jamani mimi nimeandika tu, siyo mwanachama wa chama chochote cha siasa, lakini napenda na nafatilia siasa