jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,052
- 28,242
NEC itoe tamko juu ya tabia hii inayoweza kuwa hatari wa usalama wa raia kwani kumekuwa na ongezeko la mikutano inayofanywa na Chadema katika masoko,vituo vya mabasi na mbaya kabisa kwenye hospitali na vituo vya afya.
Tanzania ni kubwa na haijakosa mahali pa kufanyia mikutano.Chadema waache janja za kitoto.
Tanzania ni kubwa na haijakosa mahali pa kufanyia mikutano.Chadema waache janja za kitoto.