Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,505
- 16,005
Ndugu zangu,
Mara kadhaa nimetoa ushahidi wa unafiki ulipo kwa kambi ya upinzani dhidi ya Zitto na hata pale nilipoweka bayana jinsi Chadema walipoongeza chuki yao kwa Zitto baada ya Seif na wafuasi wake kutimkia Cuf.
Japo imekuwa ni kawaida ya Zitto kutunga habari za uongo kuhusu masuala mengi ya kitaifa lakini Chadema wamekuwa wakimpotezea.Ninaposema Chadema namaanisha Mbowe na si "keyboard worriors".
Mbowe kama KUB alipaswa amuunge mkono Zitto na hoja zake ambazo kimsingi zimewateka vijana wa Chadema mitandaoni na kama vile hautoshi hakuna Mbunge hata mmoja wa Chadema anayejaribu kumuunga mkono Zitto hata kwa kulike posti zake.
Niseme tu kwa uwazi,upinzani Tanzania "unatafunana" wenyewe kwa wenyewe.
Alamsik
Mara kadhaa nimetoa ushahidi wa unafiki ulipo kwa kambi ya upinzani dhidi ya Zitto na hata pale nilipoweka bayana jinsi Chadema walipoongeza chuki yao kwa Zitto baada ya Seif na wafuasi wake kutimkia Cuf.
Japo imekuwa ni kawaida ya Zitto kutunga habari za uongo kuhusu masuala mengi ya kitaifa lakini Chadema wamekuwa wakimpotezea.Ninaposema Chadema namaanisha Mbowe na si "keyboard worriors".
Mbowe kama KUB alipaswa amuunge mkono Zitto na hoja zake ambazo kimsingi zimewateka vijana wa Chadema mitandaoni na kama vile hautoshi hakuna Mbunge hata mmoja wa Chadema anayejaribu kumuunga mkono Zitto hata kwa kulike posti zake.
Niseme tu kwa uwazi,upinzani Tanzania "unatafunana" wenyewe kwa wenyewe.
Alamsik
