Chadema noma eeeh kweli yahni nilikuwa na nondo yangu nlikua napiga chabo kwenye test ya maths jana chuo teacher kaifumania ghafla dduuu nililowa jasho mwili mzima hawa chadema wamesababisha wabaya sana!!!!!!!
Na nimesikia sasa hivi (kutoka reliable person ndani ya chama) kuwa chadema wanaandaa mgomo wa wenye maduka ya madawa wafunge maduka. Eti kwa nini madaktari hawaendi kazini kuwaaandikia wagonjwa waende kununua dawa kwenye maduka yao (FAMASI)...lol