Chadema wameliona hili?

Chadema wameliona hili?

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,320
Reaction score
117,611
sasa hivi kauli ya kujivua gamba ni maarufu mno

hata kwenye mazungumzo ya mapenzi au ya kijamii mengine

utasikia watu wakiitumia hii kauli.......mpaka kwenye magazeti ya udaku inatumika...

sasa swali hapa ni nani alianzisha kauli hiiiiii?????????/

ni mwenyekiti wa ccm .kikwete


wakati wa uchaguzi wa marekani kauli maarufu ilikuwa 'yes we can'

na mwisho kauli hiyo ikathibitisha kuwa obama ni maarufu na anakubalika zaidi.....

sasa kama watu wa chadema wanatakiwa kujiuliza je kuna kiongozi gani wachadema

ambae akizungumza kitu au kutoa kauli inashika moto kwa umaarufu?????????

unaweza dharau haya mambo lakini ni ishara tosha ya kuonesha

kukubalika au kutokubalika kwa kiongozi......

kuna mtu anakumbuka kauli ya john mc cain????????ipi???????

inawezekana umaarufu wa chadema na viongozi wao upo a little bit exaggerated....

vitu vidogo kama hivi vinaweza onesha jamii inawasikiliza zaidi kina nani....

au mnasemaje??????????????????????
 
Ndio kujivua gamba imekuwa kauli maarufu... but all for the wrong reasons. Aliyetoa hiyo kauli nina uhakika anajuta maana inamla mzima mzima.
 
Mafisadi! Unakumbuka aliyeitambulisha?

sasa toka walipotambulisha
mpaka leo ungetegemea wamngekuwa na power zaidi sio????????

kujivua gamba imekuja lini?si juzi tuuu???????
 
na kauli ya mbayuwayu jeee?????????????????

nani alianzisha???????????????
 
je hii kauli inatumika kwa matumizi chanya?
hii kauli inatumika kuwapopoa walioileta katika uwanja wa siasa
hivyo inakula kwao.

"yes we can" ni kauli ya kuleta matumaini na uthubutu hivyo ni kauli chanya
lakini hii ya "kujivua gamba"! mmmh
 
unaanzisha mada unatoa majibu wewe. mi napita tu
 
umaarufu wa mtu unaweza pimwa kwa anachokiongea kinaifikiaje jamiii

hata kama jamii itakipinga kwa nguvu but still
ukiona jamiii kwa asilimia kubwa wamesikia au wanakijadili
basi huyo mtu ni maarufu sana au anakubalika sana.....
 
Hiyo kauli yenu ya magamba si imekuja sababu ya kauli kali na iliyoibomoa ccm iliyoasisiwa na chadema ya UFISADI .au unaubongo wa kukumbuka kula na kunya tu ?
 
sasa hivi kauli ya kujivua gamba ni maarufu mno

hata kwenye mazungumzo ya mapenzi au ya kijamii mengine

utasikia watu wakiitumia hii kauli.......mpaka kwenye magazeti ya udaku inatumika...

sasa swali hapa ni nani alianzisha kauli hiiiiii?????????/

ni mwenyekiti wa ccm .kikwete


wakati wa uchaguzi wa marekani kauli maarufu ilikuwa 'yes we can'

na mwisho kauli hiyo ikathibitisha kuwa obama ni maarufu na anakubalika zaidi.....

sasa kama watu wa chadema wanatakiwa kujiuliza je kuna kiongozi gani wachadema

ambae akizungumza kitu au kutoa kauli inashika moto kwa umaarufu?????????

unaweza dharau haya mambo lakini ni ishara tosha ya kuonesha

kukubalika au kutokubalika kwa kiongozi......

kuna mtu anakumbuka kauli ya john mc cain????????ipi???????

inawezekana umaarufu wa chadema na viongozi wao upo a little bit exaggerated....

vitu vidogo kama hivi vinaweza onesha jamii inawasikiliza zaidi kina nani....

au mnasemaje??????????????????????



Bomb bomb bomb, bomb bomb Iran!!
 
sasa toka walipotambulisha
mpaka leo ungetegemea wamngekuwa na power zaidi sio????????

kujivua gamba imekuja lini?si juzi tuuu???????

kaka the boss unaonekana mvivu wa kufikiri
kwanza neno fisadi hadi leo bado lipo na linatumika hata ndani ya ccm yenyewe na serikarini hauwezi kuongea kujivua gamba bila kuongelea neno la mafisadi hapo mbele
chadema ina power kubwa sana kwa kuanzia unajua kwanini mswada wa katiba ulirudishwa kwa wananchi,unaelewa kwanini kujivua gamba kumetokea ?
fikiria kabla ya kuongea ikiwezekana omba na ushauri mkuu sio kuongea bila data
 
sasa hivi kauli ya kujivua gamba ni maarufu mno

hata kwenye mazungumzo ya mapenzi au ya kijamii mengine

utasikia watu wakiitumia hii kauli.......mpaka kwenye magazeti ya udaku inatumika...

sasa swali hapa ni nani alianzisha kauli hiiiiii?????????/

ni mwenyekiti wa ccm .kikwete


wakati wa uchaguzi wa marekani kauli maarufu ilikuwa 'yes we can'

na mwisho kauli hiyo ikathibitisha kuwa obama ni maarufu na anakubalika zaidi.....

sasa kama watu wa chadema wanatakiwa kujiuliza je kuna kiongozi gani wachadema

ambae akizungumza kitu au kutoa kauli inashika moto kwa umaarufu?????????

unaweza dharau haya mambo lakini ni ishara tosha ya kuonesha

kukubalika au kutokubalika kwa kiongozi......

kuna mtu anakumbuka kauli ya john mc cain????????ipi???????

inawezekana umaarufu wa chadema na viongozi wao upo a little bit exaggerated....

vitu vidogo kama hivi vinaweza onesha jamii inawasikiliza zaidi kina nani....

au mnasemaje??????????????????????

Aliyetoa kauli hii ni mkwele ofcoz watu wa Pwani ni wazuri kwa misemo lakini unajua madhara ya hiyo kauli? Waulize nape na Mkama wanapata taabu kweli kuielezea!
 
kaka the boss unaonekana mvivu wa kufikiri
kwanza neno fisadi hadi leo bado lipo na linatumika hata ndani ya ccm yenyewe na serikarini hauwezi kuongea kujivua gamba bila kuongelea neno la mafisadi hapo mbele
chadema ina power kubwa sana kwa kuanzia unajua kwanini mswada wa katiba ulirudishwa kwa wananchi,unaelewa kwanini kujivua gamba kumetokea ?
fikiria kabla ya kuongea ikiwezekana omba na ushauri mkuu sio kuongea bila data


chadema wanacheza mchezo wa ccm
wa kukifanya chadema kuwa chama cha kupiga kelele na kuikosoa ccm

wangekuwa na akili wange jiweka kama chama kinachojiandaa kuchukua nchi

na wangeweza wangekuwa na kauli ambazo wananchi wanazijadili

chadema wangeweza wangewafanya wananchi waidharau kabisa ccm na wasi pay attention kabisa
na kauli za ccm

hivi kama mna uhakika wa kuchukua dola 2015 ya nini kupiga kelele za katiba mpya now??????

kwa nini msisubiri mchukue dola msimamie vizuri zoezi hilo???????

hamkuwaona akina odinga na odm????????????
 
sasa toka walipotambulisha
mpaka leo ungetegemea wamngekuwa na power zaidi sio????????

kujivua gamba imekuja lini?si juzi tuuu???????


Mheshimiwa kwani kaulimbiu ya kujivua gamba ina TIJA gani kwa Taifa mpaka ionekana muhimu kwa vile kila mtu au watu wengi wanaitumia! Binafsi sioni TIJA yoyote ktk usemi huo!:confused2:
 
yes imekuwa maarufu kama ile ya 'nguvu zaidi,ari zaidi na kasi zaidi' ha ha ha!
 
The Boss leo umekuwaje? Kauli ya kujivua gamba inatajwa siku hizi kama mzaha tu. Na suala la umaarufu wa aliyeitoa halina mjadala. Hata asingesema umaarufu wake uko pale pale (by default). Nafasi yake inamfanya awe maarufu. Nje ya nafasi hiyo nguvu ya kauli yake usingeiona. Lakini pale unapokiri pia kuwa ni juzi tu kauli ya "kujivua gamba" imetoka utapimaje kuwa itasurvive hadi kesho? Haudhani itakuja kufunikwa na kauli ya..... "Kujivika gamba jipya" maybe toka kwa mtu mwingine wa chama kingine? Lakini pia we ni mgeni sana wa matamshi kama haya? Mfano Ari Mpya, Nguvu Mpya na Kasi mpya imesurvive kiasi gani? Hebu niambie critically ni wakati gani JK amekuwa maarufu kati ya sasa au kipindi anaingia madarakani (Umaarufu kwa maana ya Popularity na si Fame)?

Mwisho, sijaridhika na athari (+ve) ya neno gamba kwa siasa za Tanzania, zaidi linachukuliwa kwa kebehi. Kebehi humfanya aliyetunga neno kuwa fame lakini mwenzake kuwa popular. Ari Mpya, Nguvu Mpya na Kasi mpya.... yes, yes, lilikuwa na faida kubwa kisiasa. Maneno kama "Maisha bora kwa kila Mtanzania" nani asiyejua? Unadhani ilisaidia nini kumpa JK kura kama si kumpunguzia? Mi naona kama hakuhitajiki akili ya ziada kuona mambo haya.
 
chadema wanacheza mchezo wa ccm
wa kukifanya chadema kuwa chama cha kupiga kelele na kuikosoa ccm

wangekuwa na akili wange jiweka kama chama kinachojiandaa kuchukua nchi

na wangeweza wangekuwa na kauli ambazo wananchi wanazijadili

chadema wangeweza wangewafanya wananchi waidharau kabisa ccm na wasi pay attention kabisa
na kauli za ccm

hivi kama mna uhakika wa kuchukua dola 2015 ya nini kupiga kelele za katiba mpya now??????

kwa nini msisubiri mchukue dola msimamie vizuri zoezi hilo???????

hamkuwaona akina odinga na odm????????????

hivi ndugu uwezo wako wa kufikiri upo okey au ?
unashindwa kutambua kuwa ubovu ,upunguvu wa katiba umechangia haya yote? tume ya uchaguzi kutokuwa huru ni chanzo cha yote ndio maana chadema na wana nchi wanataka katiba ibadirike?
kaka jaribu kuwa na huruma japo kidogo na nchi hii acha ushabiki,

jaribu kuwa MSHABIKI WA TAIFA LAKO
 
umaarufu wa mtu unaweza pimwa kwa anachokiongea kinaifikiaje jamiii

hata kama jamii itakipinga kwa nguvu but still
ukiona jamiii kwa asilimia kubwa wamesikia au wanakijadili
basi huyo mtu ni maarufu sana au anakubalika sana.....

kweli ccm kumejaa mambwiga matupu! hivi kweli umekosa cha kumsifia huyo anayekulipa kuja kuaibika huku kwa great thinkers unaleta misemo? hakuna taarabu huku bana! we focus on facts k! kafanya nn? acha mipasho mtoto wa kiume wewe. . ndo mana mwenzenu mliyempa ATC akashindwa kuiongoza alibaki anajisifia kubadili jina! so nayeye atakumbukwa kwa mipasho ya kujiaibisha?
 
Halafu boss hujui kuwa katiba ni mali ya sisi watanzania ? Ni halali yetu kuifanyia marekebisho ama kutunga nyingine muda wowote bila kupangiwa na mtu yeyote.
 
Back
Top Bottom