CHADEMA wameiumiza Ubungo kwa miaka 10

CHADEMA wameiumiza Ubungo kwa miaka 10

Rebeka 1

Member
Joined
Aug 11, 2020
Posts
34
Reaction score
37
Kwa anaeijua vizuri Ubungo kama Jimbo atakua shaihidi kuwa CHADEMA hawastahili tena kwanzia ngazi ya UDIWANI hadi UBUNGE. Ubungo inamindombinu mibovu ya barabara ambayo lilikua Jukumu la Mbunge na Balaza la Madiwani. Chadema mlipewa Ubunge mmepewa na halmashauri lakini vitu vya kawaida tu vimewashinda. Kila unapopita unakuta hali mbaya kuliko kawaida si makoka wala msewe kote hali mbaya kabisa.

Leo Mnataka wawaamini kuwa mnafaa kwa hali hii mmechemka sana. Bonface alikuwa Meya kwa Miaka 5 kashindwa kuhakikisha greda linafanya kazi yake ilikuleta unafuu kwa Wanaubungo. Kwa hali hii nikwamba Bonface hana uwezo wa kuwashawishi Wanaubungo wamchague kwa nafasi muhimu kama hiyo kwasababu alishajaribiwa kwa umeya tu kashindwa kutimiza wajibu wake.

CCM imekuwa chama cha Upinzani kwa miaka 10 Ubungo haina sehemu ya Kulaumiwa hata kidogo maana maamuzi yote yaliamuliwa kwa nguvu ya wingi wa Madiwani wa CHADEMA.

Prof Kitila Mkumbo anayonafasi kubwa ya kupewa nafasi Ubungo kwakua ameitendea haki kwenye suala la Maji akiwa mtendaji mkuu wa kitaifa wa Sekta hiyo. Ubungo hawana shida ya maji kama zamani. Ubungo wametuliwa ndoo kichwani akina mama wanatamka hilo kila unapopita.

CHADEMA uzembe wenu wa makusudi unawafanya msiwe na uhalali tena wa kuwa sehemu ya Uongozi Ubungo.

Philipo Mwakibinga.
 
Acha kuandika ujinga wako hapa wamepewa halmashauri sawa, na vile mlivyokuwa mnawaminya kupitia mkurugenzi mlikuwa hamjui Ni kitaenda kutokea??
Huyo proof wenu asiye jitambua akatafute shughuli ya kufanya lakini sio ubungo kupewa yeye
 
Kwa anaeijua vizuri Ubungo kama Jimbo atakua shaihidi kuwa CHADEMA hawastahili tena kwanzia ngazi ya UDIWANI hadi UBUNGE. Ubungo inamindombinu mibovu ya barabara ambayo lilikua Jukumu la Mbunge na Balaza la Madiwani. Chadema mlipewa Ubunge mmepewa na halmashauri lakini vitu vya kawaida tu vimewashinda. Kila unapopita unakuta hali mbaya kuliko kawaida si makoka wala msewe kote hali mbaya kabisa.
Leo Mnataka wawaamini kuwa mnafaa kwa hali hii mmechemka sana. Bonface alikuwa Meya kwa Miaka 5 kashindwa kuhakikisha greda linafanya kazi yake ilikuleta unafuu kwa Wanaubungo. Kwa hali hii nikwamba Bonface hana uwezo wa kuwashawishi Wanaubungo wamchague kwa nafasi muhimu kama hiyo kwasababu alishajaribiwa kwa umeya tu kashindwa kutimiza wajibu wake.
CCM imekua chama cha Upinzani kwa miaka 10 Ubungo haina sehemu ya Kulaumiwa hata kidogo maana maamuzi yote yaliamuliwa kwa nguvu ya wingi wa Madiwani wa CHADEMA.
Prof Kitila Mkumbo anayonafasi kubwa ya kupewa nafasi Ubungo kwakua ameitendea haki kwenye suala la Maji akiwa mtendaji mkuu wa kitaifa wa Sekta hiyo. Ubungo hawana shida ya maji kama zamani. Ubungo wametuliwa ndoo kichwani akina mama wanatamka hilo kila unapopita.
CHADEMA uzembe wenu wa makusudi unawafanya msiwe na uhalali tena wa kuwa sehemu ya Uongozi Ubungo.
Philipo Mwakibinga.
Mtu mwenye akili akakosa elimu kwenye jamii yetu ya ubungo Ni Bora Sana kuliko yule profesa uchwara mwenye elimu lakini kakosa akili kwenye Jimbo letu la ubungo hatufai kabisa..

Sasa kwa taarifa yako hizo pingamizi mlizotuwekea za magumashi tutashida na October 28 tutawashikisha adabu.
 
Zamani halmashauri ndio walikua na pesa za ujenzi wa barabara Sasa zipo Tarura wanajengaje hizo barabara?
 
Back
Top Bottom