OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
walikuwa wapenzi lakini!!!Uzushi mtupu!
Chadema wakute tukio kama hilo wasipige hata picha?
nagu huyu huyu kiboko ya Sumaye?
walikuwa wapenzi lakini!!!Uzushi mtupu!
Chadema wakute tukio kama hilo wasipige hata picha?
nagu huyu huyu kiboko ya Sumaye?
walikuwa wapenzi lakini!!!
Mbunge wa Karatu Israel Natse akiwa na mamia ya wananchi wa kata ya Bashanet wamemkata Waziri Mary Nagu akigawa rushwa usiku wa manane.
Waziri huyo alikuwa akigawa rushwa huku akiwa amejifungia kwenye nyumba moja.Lengo lake ni ili CCM iweze kushinda katika kata hiyo.
Mamia ya watu waliizingira nyumba hiyo na kutaka kuichoma moto mpaka alipookolewa na polisi alfajiri leo.
Kukamatwa huko kulifanikishwa na askari polisi wadogo waliowatonya Chadema na kufanikiwa kuwakamata.
Mgombea wa Chadema Lawrance Tara ana nafasi kubwa ya kushinda.
Usinambieee???
Najua tu huyu mama alikuwa mtandao wa Sumaye 2005.
walikuwa wapenzi lakini!!!
Dr Nagu anakula gongo Kilakala!
na kiti moto!!