Chadema wakae kimya tu

Kisendi

JF-Expert Member
Jan 29, 2009
699
176
Chadema, sasa mkae kimya. Muendeleze majimbo mliyoshinda. Maana kuendelea na hizi midahalo na kudai katiba ilihali watz wapo kimya ni sawa na bure. Ili chama kisishuke hadhi ni kukaa kimya tu
 

Gurtu

JF-Expert Member
May 15, 2010
1,237
318
Chadema, sasa mkae kimya. Muendeleze majimbo mliyoshinda. Maana kuendelea na hizi midahalo na kudai katiba ilihali watz wapo kimya ni sawa na bure. Ili chama kisishuke hadhi ni kukaa kimya tu

Wamekaa kimya au hakuna mtu anayetaka kuwasikiliza?
 

Mtende

JF-Expert Member
Sep 27, 2010
6,386
7,234
Chadema, sasa mkae kimya. Muendeleze majimbo mliyoshinda. Maana kuendelea na hizi midahalo na kudai katiba ilihali watz wapo kimya ni sawa na bure. Ili chama kisishuke hadhi ni kukaa kimya tu

do u think kukaa kimya ni solution? mi nawashauri they have to stand up to the last drop
 

Lenana

JF-Expert Member
Oct 10, 2010
421
78
Chadema, sasa mkae kimya. Muendeleze majimbo mliyoshinda. Maana kuendelea na hizi midahalo na kudai katiba ilihali watz wapo kimya ni sawa na bure. Ili chama kisishuke hadhi ni kukaa kimya tu

nina mashaka na utimamu wa akili zako mantiki hamna kabisa katika hoja yako! kimya halafu?
 

crown

Member
Nov 1, 2010
23
0
nina mashaka na utimamu wa akili zako mantiki hamna kabisa katika hoja yako! kimya halafu?
I completely agree with you the guy doesnt seem to know what he is talking about.Wakae kimya ili nini?Kwani midomo wamepewa ya nini?.Huyu bwana must really be insane na pia a really idiot kwa kweli.He doesnt seem to know anything about politics.
 

Gad ONEYA

JF-Expert Member
Oct 26, 2010
2,633
168
wakae kimya tu! Ukikosa cha kuandika unaamua kupost schlock! tafadhali ufanye ubongo wako ufikiri vizuri upright, vinginevyo utavia!
 

seniorita

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
674
54
Chadema, sasa mkae kimya. Muendeleze majimbo mliyoshinda. Maana kuendelea na hizi midahalo na kudai katiba ilihali watz wapo kimya ni sawa na bure. Ili chama kisishuke hadhi ni kukaa kimya tu
Wakae kinya? By whose authority/command? Do you mean to tell us you are the one to tell Chadema to stop talking? For whose benefit? Ya kwako ya wana CCM wachache? Wananchi unaosema wako kimya ni akina nani? Ni wewe hapo? Can you possibly represent majority of Tanzanians who are tired, poor, frustrated ,used, and misused by CCM all these years!!! It is really sad that our country still has people of your kind, however few you may be; you are a disgrace to this nation
 

Buchanan

JF-Expert Member
May 19, 2009
13,199
1,950
Chadema, sasa mkae kimya. Muendeleze majimbo mliyoshinda. Maana kuendelea na hizi midahalo na kudai katiba ilihali watz wapo kimya ni sawa na bure. Ili chama kisishuke hadhi ni kukaa kimya tu

Wakae kimya ili nguruwe (ccm) wamalize shamba?
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom