CHADEMA waibwaga CCM IFM

CHADEMA waibwaga CCM IFM

GGUY

New Member
Joined
May 11, 2013
Posts
3
Reaction score
2
NI baada magamba kutumia kila mbinu katika uchaguzi lakini watooto wa wakulima waliweza kuilinda kula mpaka saa 9 za usiku kuibuka kidedea kwa ushindi mkubwa sana ,na huu mwanzo tuu 2015 itajulikana peopleezzzzzzz
 
Sasa, sielewi, magamba wanataka kuchakachua hadi kura za vyuoni kwasababu gani? Kila wakati wanawaza siasa tu!?
 
Ni vizuri ukaelleza ni uchaguzi wa nini katika ngazi gani na kiasi cha kura
 
NI baada magamba kutumia kila mbinu katika uchaguzi lakini watooto wa wakulima waliweza kuilinda kula mpaka saa 9 za usiku kuibuka kidedea kwa ushindi mkubwa sana ,na huu mwanzo tuu 2015 itajulikana peopleezzzzzzz

Mbona sioni uhusiano wowote kati ya CHADEMA, CCM na IFM? Hebu fafanua kidogo tukuelewe.
 
hongereni wasomi namshauri rais hawe makini sana magamba wasije wakamfanyia vitimbwi kama alivyofanyiwa yule kidera wa cbe. take care.
 
HONGERA sana makamanda wa IFM tunawajua hao
 
matokeo ya tetesi kumbe wanachuo hao na mleta mada nyote ni vilaza
 
Ndio maana viroba vinataka kufungiwa. Hii habari unaijua wewe tu. Kwa sasa niko masaka uganda sasa nitajuaje kilichokuwa kinaendelea. Nina imani hata wa temeke hatakuelewa!
 
NI baada magamba kutumia kila mbinu katika uchaguzi lakini watooto wa wakulima waliweza kuilinda kula mpaka saa 9 za usiku kuibuka kidedea kwa ushindi mkubwa sana ,na huu mwanzo tuu 2015 itajulikana peopleezzzzzzz

Hivi siku hizi vyuo wanagombea na tiketi za vyama?
 
[QUOTE=GGUY;
baada magamba kutumia kila mbinu katika uchaguzi lakini watooto wa
wakulima waliweza kuilinda kula mpaka saa 9 za usiku kuibuka kidedea kwa
ushindi mkubwa sana ,na huu mwanzo tuu 2015 itajulikana
peopleezzzzzzz

Poweeeeerzz
Big up kwa hao wanachuo ila NAOMBA NIABALISHE ULIKUWA NI UCHAGUZI WA NINI?
 
Back
Top Bottom