Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Inaonyesha wandugu mna tatizo kubwa sana ,na bado hamjalielewa hadi hii leo ,mnahitaji kusaidiwa kwa hili !
Hiv mnaelewa kuwa bado kabisa mahakama zetu hazijaweza kujitegemeaa katika kutoa maamuzi ya kesi za kisiasa ? Na haswa kesi hizi zinazozuka ? Kule Zanzibar walifika kusemaa hadharani kuwa hawatapeleka kesi zao mahakamani kwa sababu hawana imani na mahakama zao,hivyo mambo yakawa yanatekelezwa kimipangilio na mahesabu makubwa sana ,na hadi leo bado wamo katika kupigania mahakama ziwe huru.
Chadema mnatakiwa mulielewe hilo kuwa mahakama zetu hazipo huru na pale inapoamuliwa ifanywe faulu basi inafanywa na hakuna lolote linalokuwa ,hivi mpaka leo mna idadi ngapi ya kesi ,ngapi mumeshinda na ngapi mmeshindwa na ngapi zimetupiliwa mbali ?
Madai ya Katiba ni lazima yaambatanishwe na madai ya kuwa na mahakama huru,nawasilisha hoja.
Hiv mnaelewa kuwa bado kabisa mahakama zetu hazijaweza kujitegemeaa katika kutoa maamuzi ya kesi za kisiasa ? Na haswa kesi hizi zinazozuka ? Kule Zanzibar walifika kusemaa hadharani kuwa hawatapeleka kesi zao mahakamani kwa sababu hawana imani na mahakama zao,hivyo mambo yakawa yanatekelezwa kimipangilio na mahesabu makubwa sana ,na hadi leo bado wamo katika kupigania mahakama ziwe huru.
Chadema mnatakiwa mulielewe hilo kuwa mahakama zetu hazipo huru na pale inapoamuliwa ifanywe faulu basi inafanywa na hakuna lolote linalokuwa ,hivi mpaka leo mna idadi ngapi ya kesi ,ngapi mumeshinda na ngapi mmeshindwa na ngapi zimetupiliwa mbali ?
Madai ya Katiba ni lazima yaambatanishwe na madai ya kuwa na mahakama huru,nawasilisha hoja.