Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,146
Demokrasia Africa ni ngumu bora wengine tujikite kwenye maswala ya jamii
Na we ban a sio lazima Kila kitu uwe unachangia
Demokrasia Africa ni ngumu bora wengine tujikite kwenye maswala ya jamii
huyu kijana mwenzetu naye umaarufu unamlemea. by the way hongera zao kwa kumaliza tofauti zao wasiwasi wangu isiwe kuwa zimeahirishwa tu
Demokrasia Africa ni ngumu bora wengine tujikite kwenye maswala ya jamii
Mwaka huu mtataja rangi zote.Zitto cdm hawana ubavu wa kumtoa..period
Atawachezea na mtaimba wimbo wake..kichwa kimetulia hicho
Mwaka huu mtataja rangi zote.
Ndicho tunachokitegemea kwani wewe unasemaje.Mtafanyeji kwani jaribuni muone! (kichwa hicho ndicho mnakitgemea)
Ndicho tunachokitegemea kwani wewe unasemaje.
Sauti ya mkosaji uliyotegemea hayakufanikiwa pole sana welcome to the board.Hivyo hivyo msikichezee hicho kichwa ok (shikeni adabu zenu)
Huwezi kumtegemea muuza bar ku-run the show ok
Huwezi kutegemea Phd ya kanuni za kanisa..kuendesha sias ok (sasa mmegundua anafaa zaidi kule kwa pengo ok)
Good umeelewa somo