chadema ;;;;;kupora wake za watu, kuvunja ndoa za watu na kutelekeza familia
ccm..........kudumu na ndoa ujana hadi uzeeni, kulea watoto na familia ktk maadili mema
chadema ;;;;;kupora wake za watu, kuvunja ndoa za watu na kutelekeza familia
ccm..........kudumu na ndoa ujana hadi uzeeni, kulea watoto na familia ktk maadili mema
nimeipenda hii tu ! chadema ;;;;;kupora wake za watu, kuvunja ndoa za watu na kutelekeza familia
ccm..........kudumu na ndoa ujana hadi uzeeni, kulea watoto na familia ktk maadili mema. Lol una ushahidi??
Mkuu lengo la magamba hapa ni kututoa kwenye mada ya msingi na kutuingiza katika mipasho.Usikubali kutekwa maana naona na wewe huku ulikoanza kueleka siko.Kuwa makini unapojibu hoja za watu waliotumwa na baadae wanaenda kuchukua malipo yao.Mara nyingi hawatumii akili ya kawaida bali kuna force inayowasukuma..
mfuasi wa kambarage Sasa kama unadhani hizi ni point; kwa nini usiziweke kwenye post moja kinyume chake unaweka vipost kibao vinavyofanana halafu ndani hamna kitu? au lengo kuuharibu huu uzi?
mfuasi wa kambarage Sasa kama unadhani hizi ni point; kwa nini usiziweke kwenye post moja kinyume chake unaweka vipost kibao vinavyofanana halafu ndani hamna kitu? au lengo kuuharibu huu uzi?