CHADEMA vs ACT Tanzania

CHADEMA vs ACT Tanzania

assadsyria3

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
6,909
Reaction score
4,057
chadema wanawakati mgumu sana kwan ACT TANZANIA imekua kitisho kwa kuchukua viongozi wake wengi sn. mikoa na wilaya viongozi wengi wamwswitch side.
je wewe waonaje madiwan na wabunge 2014/15 ?
 
ACT ndio nini ? Kile chama chenye nguzo kuu.............kifo na usingizi havifanani.......
 
Naona mnafananisha mlima kilimanjaro na kichuguu!
 
Wabunge wengi wa chadema hawarudi 2015, labda wahamie vyama vingine warudi kupitia vyama hivyo
 
Wabunge wengi wa chadema hawarudi 2015, labda wahamie vyama vingine warudi kupitia vyama hivyo

Sasa hapo uneongea nini? Hakuna point uliyoongea kwa hiyo wananchi watachagua vyama na sio viongozi bora? Kweli wewe ni kilaza
 
Huu upum..bavu kauleta mpum..bavu gani hapa Jf.Mods mbona mnachekea nyani shambani???.
 
Back
Top Bottom