CHADEMA, Vipi Tuuboreshe Muungano?

Lakini mbona inaonekana Watanganyika wanafagilia muundo Huu wa muungano!.

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2
Mkuu, siafikiani na wewe kwamba watanganyika wanaufagilia huu muundo wa muungano. Bali usahihi ni kwamba ni viongozi wa ccm ndiyo wanaoufagilia.
 
Mkuu, siafikiani na wewe kwamba watanganyika wanaufagilia huu muundo wa muungano. Bali usahihi ni kwamba ni viongozi wa ccm ndiyo wanaoufagilia.
Hajakosea!
...na ni kina nani walioiweka serikali ya ccm madarakani kama si Watanganyika?!
 
Serikali ya CCM,Haijawekwa na Wadanganyika.Kama kweli tunaona watu wanapenda mfumo huu wa Muungano si ifanyike referendum kuona kama kuna ukweli kwamba ni Watanganyika au wanzanzibar wanapenda muungano huu. Huu ni muungano wa Viongozi wa CCM kwa maslahi yao.
 
Lakini mbona inaonekana Watanganyika wanafagilia muundo Huu wa muungano!.

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2

Wazenji ndio wana uwezo wa kujitoa.... lakini hawajitoi, badala yake wanabaki kulialia eti "hawautaki muungano"
Pia wanakuja na gear ya muungano wa mkataba... what for? Si watoke tuu jumla ?
 


Mkuu fafanua hiyo red yasijetokea ya MULUGO
 

Aliyeolewa ni nani kati ya tanganyika na zanzibar? Umepita mkondo ambao sio. Acha wananchi waamue kwa kupiga kura. Na wengi wape. Msilazimishe punda kunywa maji wakati yeye anayaona au anafikiri yana sumu.
 
Hata Obama alipoingia ikulu alikuta masharti ambayo hawezi kwenda kinyume! Hata CDM ikiingia ikulu haiwezi kuvunja muungano. Huu muungano wa kiserikali ni wananchi wataamua wenyewe sasa sijui watapitia ktk asasi gani. Visiwani inaelekea no huku bara wengine hatuoni tunachongangania ktk muungano kama kipo serikali ituambie. Undugu utaendelea kuwepo tu kuwe au kusiwe na muungano.
 

Kwani muungano ni lazima?
 
................. vipi Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uboreshwe?

“Tungejua kama hali ya aina hii itajitokeza, basi tungeanza na kura ya maoni, tungewauliza wananchi kama wanautaka muungano na kama ndiyo, basi uwe wa aina gani au serikali ngapi, mtu angesema moja, mbili, tatu na kadhalika,” alisema Pinda jana kwenye Viwanja vya Bunge mjini hapa.
 
Hivi wakuu zomba yuko wapi kwa sasa huyu ndugu yetu.
Ni kitambo kidogo simuoni humu,ukichukulia huu mchakato wa BMK ya CCM halafu hapost,nahis kuna kiti hakijakaa sawa. zomba, where are you ?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…