CHADEMA unganeni na ACT Wazalendo

Usiwe MTUMWA wa historia

huu ni ushauri mzuri na Viongozi tunatafakari
Shikamoo Muheshimiwa.
Kwanza nimefurahi sana umereply comment yangu.Pili, Mimi ni shabiki wako kindaki ndaki na miongoni mwa wale ambao tuliumia sana kipindi kile unaitwa msaliti.
Tatu,.Nikutakie kila la kheri Mh.Mbunge.
 
Siku ya kufa nyani miti yote huteleza,hata kama wakiungana haitasaidia chochote kwa kuwa wote wako hoi kisiasa.Zitto na act-wazalendo yake ni bonge la mlaghai na mzushi mkubwa,mbowe na chadema yake the same na zaidi.Huo muungano wao utakuwa hauna afya na utakuwa chanzo wa migogoro zaidi kati yao hapo baadaye kwa kuwa wote ni wapenda madaraka na wabinafsi.
 
Ubinafsi wa mbowe anaiponza cdm,hapakuwa na sababu yakuwafukuza akina zitto,mwigamba,kitila wakati ule maana ile ndio ilikuwa reflection ya demokrasia ,mbowe kwa elimu yake ndogo akatafasri ni usaliti,akisaidiwa na wavuta mbagi wake akina lema
 
ACT ina nguvu mkuu. Kilichopunguza spidi ya ACT ni hili janga la corona ila ni chama ambacho kinakuja juu sana
Na ni chama ambacho kitakuja kuwa tishio sana kwa CCM endapo strategies fulani fulani wakizitumia..
Vyama vya upinzani hata wakijngana au ikawekwa Tume ya Uchaguzi kutoka Mbinguni, kamwe hawatashinda Uchaguzi Mkuu mwaka huu, labda 2025. Sababu ziko wazi kwani mwenye macho anaona na mwenye masikio anasikia.

Wakati viongozi wa upinzani wakiibeza, kuitukana, na kuizushia uwongo Serikali:-
√ Wapiga kura wanaona walivyo na wanavyo boreshewa miundo mbinu ya kukuza uchumi na huduma za jamii (afya, elimu, maji, umeme, nk);
^ Wapiga kura wanasikia kejeli za upinzani dhidi ya Rais na viongozi wenzake;
√ Wananchi majimboni wanaona jinsi wabunge wao wanavyoshiriki nao katika shughuli za maendeleo;
√ Wananchi wanasikia michango ya Wabunge Bungeni iwapo inawalenga au ni kwa mbunge kujijenga binafsi;
√ Na kadahalika.
 
Waungane na NCCR mageuzi
 
Wazo zuri. Ila kuna ukweli watu wanaukwepa kuusema. Kudhoofika kwa CHADEMA ni matokeo ya CCM kutoa Rais mkristo! Wale wachungaji na maaskofu waliokuwa wanaipa CHADEMA nguvu sasa wanashabikia CCM. Kumbe na wao walikuwa na masai tofauti na ya CHADEMA ambayo sasa wanayapata CCM!
Pia kuna swala la kuhodhi na kujiona bora! Hili ndilo lilimfanya maaliim Seif achague kujiunga ACT badala ya CHADEMA! Huo muungano mnaouwaza utawezekana kama CDM itakubali kuwa "equal partner"!
 
Acha kushawishi watu wasipige kura mkuu, Kupambana ni muhimu kivyovyote vile.

Fahamu hili kuwa haitatokea kamwe CCM kuweka tume huru. Ni kupambana nao tu mpaka kieleweke
Upo sahihi mkuu.tume huru kwa ccm hawawezi kuruhusu wapo tayari kwenda motoni kuliko kukubali tume huru
 
Aliondoka Slaa mkakesha mnapayuka kuwa ndiyo mwisho wa cdm lkn hii ni miaka mitano Slaa yupo ccm na cdm bado inawanyima usingizini
Mbowe hana impact yoyote kwa CHADEMA awepo au asiwepo hana madhara.

Ukweli ni kwamba kwa sasa CHADEMA akiondoka Lissu basi chama kimekwisha.

In God we Trust
 
Mnajiliwaza ili kesho mkakeshe vizuri kwenye mkesha wa kuiaga corona
Chombo cha kuzama siku zote huwa hakina usukani!

Watatapatapa mwishowe wataungana hadi na CCM,ACT yenyewe ni Zanzibar tu bara imesimamia mguu mmoja kama jini.

In God we Trust
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…