Zitto
Former MP Kigoma Urban
- Mar 2, 2007
- 1,562
- 10,879
Usiwe MTUMWA wa historiaZitto kama akikubali kufanya hivo nitamuona hamnazo kabisa. Kwa jinsi walivyomnanga kipindi kile afu Leo watake kuungana nae tena.?
Zitto usikubali kufanya huo ujinga hao wote walitaka upotee lakini ulipambana kiume sana hadi leo hii heshima imeanza kurudi.
huu ni ushauri mzuri na Viongozi tunatafakari