Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,507
Shibuda awe na wafuasi, huyo ni mropokaji tu.kauli au maoni ya mtoa mada yana ukweli ndani yake .....Migogoro mingi huanza na jambo moja dogo sana hivyo ni wajibu wa chama kuwa makini sana ktk maamuzi yake
Mfano suala la Posho kwa wabunge linaweza ku tatizo akizingatia kuwa na ndani ya CDM moja kuna mgawanyiko mkubwa kuhusu hizo ingawa wengine hawasemi huwezi jua nyuma ya Shibuda yupo nani na kauli anazotumia ujasili anaupata wapi
Hapa JF tunapeana habari,kuelimishana, kukumbushana, [Kubudishana hii inategemea na jukwaa uliloko ] ni maana kwamba si kila jambo kubisha tu pasipo hoja ya msingi
Ahsanteni