CHADEMA/UKAWA wamtambulishe Lowassa Mikoani

CHADEMA/UKAWA wamtambulishe Lowassa Mikoani

lengume

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2014
Posts
318
Reaction score
135
Baada ya Magufuli kupitishwa kugombea Urais alipewa nafasi ya kuzunguka kujitambulisha Mikoani.

Sasa ili tuone nani zaidi naye mh Lowasa azunguke Mikoani kujitambulisha.

Hapo ndipo mtajionea Mafuriko ya Lowasa.
 
Baada ya Magufuli kupitishwa kugombea Urais alipewa nafasi ya kuzunguka kujitambulisha Mikoani.

Sasa ili tuone nani zaidi naye mh Lowasa azunguke Mikoani kujitambulisha.

Hapo ndipo mtajionea Mafuriko ya Lowasa.
Mkuu taratibu utajeruhi watu aisee...
 
11800604_921554114583445_450174014289383186_n.jpg
 
atakata tamaa mapema,na hata ukawa watabadili mawazo na kumrudisha slaa agombee....

anyway,atawapata bodaboda...
 
Baada ya Magufuli kupitishwa kugombea Urais alipewa nafasi ya kuzunguka kujitambulisha Mikoani.

Sasa ili tuone nani zaidi naye mh Lowasa azunguke Mikoani kujitambulisha.

Hapo ndipo mtajionea Mafuriko ya Lowasa.

Kwa mafuriko ya Lowasa wataisoma namba mwaka huu
 
Baada ya Magufuli kupitishwa kugombea Urais alipewa nafasi ya kuzunguka kujitambulisha Mikoani.

Sasa ili tuone nani zaidi naye mh Lowasa azunguke Mikoani kujitambulisha.

Hapo ndipo mtajionea Mafuriko ya Lowasa.

Kuna umuhimu wa kufanya hivyo kwa sababu kuu tatu: 1. kumtambulisha kama mwanachama mpya wa Chadema, 2. kama mgombea Urais kwa tiketi ya Ukawa, 3. kuweka ukweli juu ya mambo ya Richmond
 
jamaniii nimesha anzakuioneya huruma ccm! ila shetani ccm apigwe tu
 
Kuna umuhimu wa kufanya hivyo kwa sababu kuu tatu: 1. kumtambulisha kama mwanachama mpya wa Chadema, 2. kama mgombea Urais kwa tiketi ya Ukawa, 3. kuweka ukweli juu ya mambo ya Richmond
Si ndio kampeni yenyewe hiyo?
 
Kama ilyokuwa kwa mgombea wa ccm kuwa mh.lowassa na yeye mumtembeze huku mikoani kwa lengo la kumtambulisha kabla ya kampeni tuone kama tume itazuia au itasema nini wananchi tupo macho kuliona hilo.
 
atakata tamaa mapema,na hata ukawa watabadili mawazo na kumrudisha slaa agombee....

anyway,atawapata bodaboda...

Umenena mkuu...pia wakumbuke kuwa, atakumbana na maswali ambayo hayako planned, ukizingatia kuwa Mzee hana ubavu wa kujieleza kwa ufasaha..
 
Back
Top Bottom