Mzee Tupatupa, tunadai haki ya kufanya shughuli za kisiasa kwa uhuru.
Haki ya kufanya mikutano ya kisiasa na kujadiliana na wananchi juu ya changamoto zinazotukabili kama jamii.
Haki ya kutoa maoni bila kubugudhiwa. (Freedom of expression);tutoe maoni yetu juu ya budget ya serikali, tuongelee kashfa ya Lugumi, tujadili escrow, uuzwaji wa nyumba za serikali, mikataba ya UDA. n.k
Tunahitaji mshindi wa uchaguzi atokane na kura za wananchi na sio tume.
Tunahitaji mipaka ya mihimili mitatu ya serikali iwepo na ionekane na bunge liache kugeuzwa kikao cha chama kama ilivyo sasa.
Tunahitaji ushindi wa Maalim Zanzibar utambuliwe.
Tunahitaji tume huru ya uchaguzi.
Tunahitaji ukomo wa figisufigisu kwa mameya wetu na halmashauri zilizo chini yetu.
Tunahitaji mauaji ,mateso na udhalilishaji kisiasa uliokwisha fanyika utambuliwe kitaifa na wahusika wachukuliwe hatua.
Tunahitaji bunge live..
Mzee tupatupa, nikiendelea ni litania ila kimsingi CCM imetuchosha ipumzike.
#I HATE MAGUFULI