Inaonyesha jinsi ambavyo waTZ elimu imeshuka. Mnatoa kashfa na kejeli za nini? CDM kwa kufuata katiba na sheria za nchi kama watapata mgombea mzuri aingie kwenye kinyanganyiro cha uchaguzi. Kidemokrasia wakiona labda mgombeaji wa CUF anafaa wanaweza kujiondoa huko mbele ya safari ili upinzani ushinde. Lengo ni kupata viongozi wenye uwezo wa kuiongoza hii nchi kikatiba na kisheria kwani kwa sasa kwa mwananchi wa kawaida tunaona mambo hayaendi sawa sawa hasa upande wa elimu na afya.
Mtu yeyote anayshabikia ukabila na udini hana nafasi katika taifa hili kwani sisi tu wamoja na taifa hili sio la kidini wala kikabila ni letu sote.
Hao unaosema wajiandikisha?
CDM pamoja na wapinzani au Wakiungana na chama chochote basi Chalinze wanaweza shinda kwa kishindo, hii ni kutokana na Ramani ya jimbo la Chalinze ina population kubwa pembezoni mwa barabara ya Morogoro road ambako pia watu wamechanganyika bila kujali udini eg Chalinze penyewe, Vigwaza Ubena Zomozi, Mbala, Magindu etc, ukabila na ukwere ukwere kidogo ni tatizo kule Msata, Lugoba, Msoga, Wami, Madesa.. etc kwani hao wanajali ukabila sana na ndio hako ka group kadogo ambako mara ya mwisho 2010 walionekana wakiwa na gari mbili tatu hivi asubuhi wakienda Ikulu kushuhudia na kuona ------ mwenzao akiapishwa kamwe sikuona mkwavi katika kundi hilo,...
CHANGAMOTO KUBWA NINAYOIONA KUKWAMISHA CDM NI UMASKINI WA WATU WA CHALINZE WAKATI YULE BWANA MDOGO ANAZO ZA KUTOSHA KUTOKANA NA BIASHAARA ZAKE HALALI NA ZISIZO HALALI
Humu jukwaani kuna watu ambao wameamua kujitoa ufahamu kabisa, mmoja wapo ni huyu anayejiita simiyu yetu, sijawahi ona kachangia mambo ya kujenga humu ndani, hata kama analipwa anatumika vibaya sana aisee, yaani kama ni ubongo huyu ni bikira, anahitaji kubikiriwa, yeye akisikia neno Chadema tu, basi kwake ni kesi, atakuja na mambo ya ajabuajabu, jaribu kubadilika uendane na wanajukwaa wenzio.
Chadema huu ukweli msioweza kuukwepa kwa
u-familia kwenye chama,ya riz one na mgimwa
ni tusi kwenu
WanaCHADEMA wanaoweweseka na Uteuzi Wa
Mgimwa - Kalenga, na Ridhiwani - Chalinze.
Msitoe Kibanzi macho ya wenzenu ya kwenu
yangali na Boriti.
Ubunge Wa kupeana umeanzia Kwenu
1. Tundu Lissu, Dada yake Christina Lissu.
2. Philemon Ndesamburo mtoto wake Wa
kumzaa Lucy Philemon Ndesamburo Owenya -
hili owenya ni jina la mume wake. Dkt Owenya
3. Grace Sintato Kiwelu Philen Ndesamburo- ni
mkwe Wa Philemon Ndesamburo aliyeolewa na
Sindato Kiwelu, mtoto Wa Philemon
Ndesamburo na kaka Wa Lucy Owenya.
4. Sabrina Sungura - Ni mchumba/ Kimada Wa
Anthony Komu, Mkurugenzi Wa Fedha na
Utawala Wa Chadema.
5. Joyce Mukya - Ni mke Wa kisheria Wa
Freeman Mbowe. Kumbuka sheria zinasema
ukikaa na mwanamke kwa miezi inayozidi sita
unahesabika kuwa umeoa. Mbowe na Joyce
Mukya wameishi pamoja mwaka Wa nne sasa
na mtoto wamezaa.
6. Rose Kamili Sukum - ni mke halali Wa ndoa
Wa katibu mkuu Wa Chadema Dr. Slaa
7. Mama Maulida Anna Komu - ni mke Halali
Wa baba mdogo Wa mkurugenzi Wa fedha na
utawala Wa Chadema. Yaani ni mama mdogo
Wa Anthony Komu.
8.Freeman Mbowe Mwenyekiti wa CHADEMA
Taifa ameoa Mtoto wa Mtei(Mmiliki) wa
Chadema na Muasisi,Wakwe wamepeana
Chama.