CHADEMA tusiwapuuze hawa

Wewe unaongea kama nani wakati wewe sisimizi tu ndani ya chadema kwanza unatumiwa na ccm.

Tatizo la wengi kila ataeikosoa chadema au kutoa ushauri basi ni kibaraka wa ccm


huku ngazi ya chini kwenye kata kuna wakina mnyika wengi tu.
 
View attachment 226174
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…