mkuu kwa vile unajifurahisha sawa, lakini kiukweli upinzani wanaingia kwenye uchaguzi huu huku wameshindwa, kuna maeneo hakuna upinzani, na kina mbowe, lipumba na wenzao wanatapa kwamba ccm itaondoka ikulu kwenye uchaguzi wa mwaka huu. Sijaona maandalizi ya dhati ya ukawa kuchukua nchi sijaona! Sijaona. Nenda maeneo mengi ya vijijini kwenye taifa letu utakubali nisemalo.