- Thread starter
- #21
CCM:rip: mtaji wao ni wazee, wajinga wasioweza kufanya maamuzi na mapoyoyo washobokea JEZI NA cape,mwana utakuwa mmoja wao,ur so lame. grow up,changes is u fool.:yield:
Mamangu alinilea nikaleleka na alinionya matusi si kitu kizuri!!! Ni athari za malezi mabovu ya familia yako ndio maana huoni aibu kutoa matusi!!!! Hiyo ndio sababu inayonifanya niichukie CHADEMA maradufu kwavile wafuasi wake wengi wanaonesha taswira ya uhuni!!!! Hivi huwezi kuongea bila kutukana?! Sasa kwa taarifa yako, mimi mtoto wa uswahilini; nimezaliwa na kukulia kwenye maeneo yenye viwanda vya matusi! Kama wewe unajua kutukana tuombe ruhusa kwa moderator ili aruhusu mimi na wewe kutukanana humu ndani!!!!