gemmanuel265
JF-Expert Member
- Feb 16, 2016
- 8,485
- 18,045
Jiwe watu wamemchoka mapema sana ndio maana anatumia nguvu nyingi sana za dola kulazimisha kusifiwa ujinga wakeNaona nyomi kama lote, kweli joni wine auti!
Taarifa
bila shaka mkuuTaarifa
2020 John Walker out
Kungekuwa na uhuru wa kutosha wa kufanya mikutano ya ndani kwa vyama pinzani hata hii comment yako usingehoji swali hiloOh eti tumekatazwa kufanya mikutano, sijui kuna udikteta sijui nini. Haya sasa hapo mnafanya nini?
Sawa bosi
Utasubiri sana....2020 John Walker out
Mkuu suruali za mlegezo zimewashuka, kila mnachounga mkono kinaishia kuwa na kasoro. Kibinadamu mmelegea maana mmecheza mchezo wa hasira wakati mchezo wa kisiasa hauhitaji hasira. Mnatamani kurudisha majira nyuma baada ya kushtuka mlikuwa mnampiga chura teke.Oh eti tumekatazwa kufanya mikutano, sijui kuna udikteta sijui nini. Haya sasa hapo mnafanya nini?
Yaani hapo ndio umeona nyomii kama lote, ha ha ha.Mkuu suruali za mlegezo zimewashuka, kila mnachounga mkono kinaishia kuwa na kasoro. Kibinadamu mmelegea maana mmecheza mchezo wa hasira wakati mchezo wa kisiasa hauhitaji hasira. Mnatamani kurudisha majira nyuma baada ya kushtuka mlikuwa mnampiga chura teke.
Nyomi ni ile ya kupandisha watu kwenye magari ya mwendokasiYaani hapo ndio umeona nyomii kama lote, ha ha ha.
Endelea tu kupiga mayowe. Hiyo hainisumbui kabisaa.Nyomi ni ile ya kupandisha watu kwenye magari ya mwendokasi
Kwani unazo?Endelea tu kupiga mayowe. Hiyo hainisumbui kabisaa.