The Zanzibar Echo
JF-Expert Member
- Apr 21, 2025
- 490
- 836
Hiki kitabu kina itwa THE BOOK OF SOUTHERN QI DYNASTY kinazungumzia vipi unaweza kuua kwa kutumia upanga wa kuazima. Yaani hapa njia ni kua unapenyeza watu wako kule ambako unatk kuangusha ufalme halafu unatumia hao kuangusha ufalme.
Mfano Chadema ingepenyeza watu serekali washike nafasi za juu Kam vile IGP NA MKUU WA MAJESHI bila CCM kujua then wanashiriki uchaguzi wanahamasisha watu kwenda kupiga kura mwisho wanamtumia IGP na MKUU WA MAJESHI kuilazimisha kufangaza matokeo ya haki au wawe na siku mbaya sana maishan mwao