CHADEMA Siwaelewi mnachokisimamia

Asante kwa pumba. Haya nenda kazini sasa
 
Unakandia bure, hiyo hospital ikijengwa nyie ndo mtakuwa wa kwanza kutibiwa
 
Umeongea ukweli mtupu,, hili ni jambo lipo wazi hata kama ulipata FAFAFAFAAA huwezi shindwa kuelewa hili.

Umetoa ushauri mzuri sana, Chadema na wengine mlioko upinzani angalieni tatizo lipo wapi? Je ni kweli hampigiwi kura kwa wingi? Na kama mnapata hizo kura tatizo lipo wapi? Hilo ndo la kushughulikia. Na siyo mengine.

Ukweli mfumo usiposhughulikiwa afadhali hata uchaguzi usiwepo ni kupoteza tu hela nyiingi, zinaweza jenga hata kiwanda kimoja watu wakapata ajira.

Barabosa leo Lumumba lazima wakutoze faini huwezi kuwasaidia timu pinzani namna hii.
 
Hivi nyie huwa mnashinda sio?
 
Wewe unataka wasimame nini? Maana kwenye huwezi kwenda na moja na mambo habadilika kulingana na wakati, kama ni rushwa bado zipo kulingana na ripoti ya CAG, nchi inamakandokando mengi sana ndio lowassa akiongea kidogo ccm. Mapovu!
 
Tanzania siyo Nigeria, jaribu kuusoma mfumo wa Tanzania kwanza, CCM ni zaidi ya Chama cha Siasa!

Tanzania ni kama Kenya labda au pia haiwezi kuwa hivyo? Ninavyofahamu nchi zilizoiga mfumo wa kijamaa vyama vyake vilivyokuwepo tangu kudai uhuru vinafanana kimfumo na kitabia sasa tuangalie kuanzia hapo.
 
You're right kwa sababu aliye draft huo mkataba wa hatimiliki yenu NSSF Tanzania ni Mungu wa mbinguni
 
Kichwa kikiwa kikubwa halafu kisiwe na akili mara nyingi shingo hupata shida sana Naionea huruma shingo lako
 
Chadema wlifurahi sana kufa wale watoto kule arusha....kila siku ni kiki za hao watoto...Chadema ni janga la Taifa
Ni yupi anayefurahia?

Anayeng'ang'ania kumuuguza mgonjwa ili anywe uji wake au yule anayeng'ang'ania mgonjwa apewe uji wake??
 
Upande wa pili, yaani wao ni kupiga rambirambi tu za wafiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…