CHADEMA sasa waonja machungu ya Lowassa

CHADEMA sasa waonja machungu ya Lowassa

Magufuli anasubiri kuapishwa ndiyo Rais wa tanzania ijayo.

Ataapishwa bila ridhaa ya Watanzania? Msijisahau sana kuwa ili ashinde ni lazima apigiwe kura sio tu na wanachama wenu bali pamoja na wasio wana-CCM. Kwa maneno haya hata waliokuwa wanamtazamo tofauti wanaweza kubakia na mtzamo wao ili kuona mtaamua kumuapisha hata kura zisipotimia!
 
Duu mkuu kweli katika magazeti yote ndio umetuletea Umma, kweli Mungu akitaka kuuangusha ufalme huwatia uchizi.
 
mwiguli mwenyew n fisad mkubwa sana ndani ya ccm.machungu yapi???

magazet uchwara kama hili ni ya kufungiwa tu au kuchomwa moto

Kama suala la kununuliwa kwa Dr Slaa, nawahakikishia kuwa Dau la LOWASA NA ROSTAM tu bila kuwataja wengine lingeshinda lile la CCM. Hili ni jibu kamili kwa wale wanaodai eti Dr Slaa kanunuliwa na CCM.

Tafakari na jiulize.
 
Kwani lowasa ufisadi kaufanyia wapi?
Si huko huko kiwandani?
Wangapi kawaacha huko?
Wanaedeleza sera ya o
" chukua chako mapema"
Sisi Ukawa ni kama meli ya
Uokoaji kwa wafa maji,ccmwote
mafisadi,sisi tinahubiri haki
na uzalendo,walarushwa
wako ccm,mafisadi,ccm,magamba ccm,
Huyu Lowasa kaungama,bado wengi tunawaalika
wasizame na uovu,KARIBUNI UKAWA MELI YA UOKOVU
 
DSC09951.jpg
Mpango mzima huu hapa
 
watanzania hatuko pamoja nao tena, mwenye macho haambiwi ona na mwenye masikio haimbiwi sikia. Dr slaa tume kusikia na tutasimamia ukweli
 
bado yapo mengi ambayo yana kuja watazidi kupata machungu kwa kukumbatia watu wasio kifaa chama.
 
yaaan CCM tunaisambaratisha kama upepo vile....kumbe Lowasa anawatoa Jasho la damu...!
 
Hatakama ni fisadi lowassa tutampa huyo huyo , bora fisadi wa chadema kuliko mafisadi wa ssm
 
Kumbe lowasa ni threat kwa CCM kiasi hiki!!!!!?.Sikutegemea kama CCM angewamali kilahisi namna hii.Hawata kaa wasahau kamwe.Songela Kamanda LOWASA Songela.
 
Chadema chama cha mafisadi tanzania.
Ni kweli Mkuu angalia list hii.A chenge ubunge Bariadi-chadema,pro Tibaijuka ubunge chadema muleba,Ngereja-ubunge chadema Sengerema,N karamagi mjumbe NEC chadema,Jk mwenyekiti Taifa Chadema,Mkapa mwenyekiti na mjumbe kamati ya maadili chadema,du kali sana hii
 
bil 7mmetandikwa na vijana wenu wa jana wakapata kichapo na slaa wenu akakimbia nchi na ukawa inadunda kama kawa.

muda si mrefu tutakuwa angani na mashine 4mtakomaje?????

yani wataisoma namba mwaka huu, saivi kila mtu anamiliki kichinjio watatueleza nini.... wachonge tu mwisho tukutane oktoba.
 
Lowasa ndiye fisadi namba moja ndiye mtambo wa kuzalish mafisadi Tanzania.
mtambo wenye Nguvu kuliko serikali yoyote iliyowahi kuundwa na ccm.nadhani huu mtambo unatakiwa kupewa nchi kama kweli tunaipenda nchi yetu
 
We lofa unataka kubisha kuwa Lowasa siyo fisadi?
slaa kisha kuambia Lowasa ni sawa na kikombe kimoja cha Mavis kilichochotwa toka chooni (ccm) na kuwekwa kwenye chumba cha kulala(chadema).bahati mbaya kwa Slaa ni kuogopa harufu ya Mavi yaliyowekwa kwenye kikombe chumbani na ambayo yangekauka baada ya muda mfupi badala yake akaamua kuhamishia kitanda chooni.
 
Back
Top Bottom