singidadodoma
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 4,394
- 1,538
Ni maneno tu hayo lowassa mbele kwa mbele
Lowasa atakuwa nyuma kwa nyuma hata iweje hana jipya ni fisadi tu.Ni maneno tu hayo lowassa mbele kwa mbele
Ikuli ndo wapi? sema "IKULU"ongeza umakini kabla ya tarehe 25 oct 2015Ikuli si mahali pa masihara na mizaha
Magufuli anasubiri kuapishwa ndiyo Rais wa tanzania ijayo.
washauri ccm wakallisajili wapate tredmarkMbona mnachukuwa maneno ya sisiemu. "Mbele kwa mbele"?
Mbona mnachukuwa maneno ya sisiemu. "Mbele kwa mbele"?
Chadema chama cha mafisadi tanzania.
Mbona mnachukuwa maneno ya sisiemu. "Mbele kwa mbele"?
Nani kakudanganya kuwa Maneno ni Mali ya CCM???.
We lofa unataka kubisha kuwa Lowasa siyo fisadi?
atakamatwa tu hakuna namna,na hiv ana nyota ya kukatwa na watz tutamkata