yakowazi
JF-Expert Member
- Feb 9, 2012
- 1,771
- 627
Hiyo ni kazi ya Polisi wao ndio wenye dhamana na wao ndio watakaotoa TAMKO usiwe na wasiwasiBen yupo wapi hilo ndo la msingi...ngonjera zingne hatuzitaki..chadema walibidi watoe tamko kuwa MTU wao amepotea